Naombeni kazi yoyote iliyo halali jamani, nina ari mbaya

EveningStar

JF-Expert Member
Nov 14, 2018
262
162
Habari wakuu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, jinsi ni (Me), nina shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia kutoka SUA. Natafuta kazi yoyote ya halali, nipo tayari kuifanya angalau nipate hela ya kula ndugu zanguni. Kwa anayeweza kunisaidia kupata vibarua viwandani naomba nisaidie, maana nina hali mbaya sana hata hela ya kula ni tatizo kwangu, nimeangahaika kupeleka nyaraka zangu za kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa muda mrefu sasa, lakini mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi zaidi ya kupewa ahadi tu, kumbuka mimi sichagui kazi wala maslahi. Kwahiyo naombeni mnisaidie, mimi nipo DAR, 0758 106 501

Ahsanteni!
 
Habari wakuu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, jinsi ni (Me), nina shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia kutoka SUA. Natafuta kazi yoyote ya halali, nipo tayari kuifanya angalau nipate hela ya kula ndugu zanguni. Kwa anayeweza kunisaidia kupata vibarua viwandani naomba nisaidie, maana nina hali mbaya sana hata hela ya kula ni tatizo kwangu, nimeangahaika kupeleka nyaraka zangu za kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa muda mrefu sasa, lakini mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi zaidi ya kupewa ahadi tu, kumbuka mimi sichagui kazi wala maslahi. Kwahiyo naombeni mnisaidie, mimi nipo DAR, 0758 106 501

Ahsanteni!
Pole kwa "ari" mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia ya shortcut fanya ujiunge na chama cha siasa then anza kusifia mwenyekiti wako unaweza kuambulia chochote mkuu, kila mtu apambane na hali yake
 
Pole.
Kama utakosa kazi kabisa nakushauri ukope fedha kidogo uanzishe biashara yoyote ya chakula kama vile ugali na nyama Choma, supu chapati. Fight ukikosa omba msaada wa mtaji mdogo tutakuchangia.
Kuna mjamaa namfahamu Sinza anapata faida mpaka laki 2 kwa siku kwa kuuza supu ya maini na chapati.
Mwingine yupo huku Temeke anapata faida mpaka laki 3 kwa siku moja kwa kuuza ugali nyama choma. Yaani mpaka sis wafanyakazi hatuwagusi kifedha. Anza chini utakuwa juu
 
Pole.
Kama utakosa kazi kabisa nakushauri ukope fedha kidogo uanzishe biashara yoyote ya chakula kama vile ugali na nyama Choma, supu chapati. Fight ukikosa omba msaada wa mtaji mdogo tutakuchangia.
Kuna mjamaa namfahamu Sinza anapata faida mpaka laki 2 kwa siku kwa kuuza supu ya maini na chapati.
Mwingine yupo huku Temeke anapata faida mpaka laki 3 kwa siku moja kwa kuuza ugali nyama choma. Yaani mpaka sis wafanyakazi hatuwagusi kifedha. Anza chini utakuwa juu
Ahsante kwa ushauri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom