hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,642
Habarini wana Jf, niende kwenye dhumuni husika, naombeni kazi au kibarua katika sekta ya Magari. , Elimu yangu ni Degree ya mechanical engineering ,
Nimezuiwa cheti kutokana na kushindwa kulipa ada , hivo naombeni wadau wa Magari na kada nyingine zinazowiana na Mechanical engineering , napatikana Dar es Salaam
Nina uzoefu katika ufundi magari wa mwaka mmoja , pia Nina uzoefu katika ufumaji(motor winding)wa mota na kufanya repair .
Naomben msaada wenu wa Jf nijikwamue niweze kulipa pia ada ninayodaiwa .
Nimezuiwa cheti kutokana na kushindwa kulipa ada , hivo naombeni wadau wa Magari na kada nyingine zinazowiana na Mechanical engineering , napatikana Dar es Salaam
Nina uzoefu katika ufundi magari wa mwaka mmoja , pia Nina uzoefu katika ufumaji(motor winding)wa mota na kufanya repair .
Naomben msaada wenu wa Jf nijikwamue niweze kulipa pia ada ninayodaiwa .