Habari,naomba mwenye michongo ya kazi naomba tuwasiliane PM
Elimu
Ualimu wa chemistry & Biology (SUA)
Useremala bado nipo mafunzoni Ila baadhi ya vitu Kama kutengeneza Meza,stuli na kupiga blandering
Kazi ninazohitaji
-Kufundisha masomo ya kemia na bioloji kwa shule za private jamani ata part time
-Kutengeneza stuli,meza na kupiga blandering
-Vibarua vya ujenzi
Shukrani Sana#Tupeane michongo