Jamaa hajaomba unachotaka kumtumiaTuma namba yako ya tigo pesa nikutumie
Kwani daktari alisemaje? Na kwanini umeiweka jukwaa la mapenzi?Nina mdogo wangu wakike bahati mbay tuko wawil tu wazaz walishatangulia sasa huyu mdogo ang kumbe alipata mimba na kwa kuniogopa alijaribu kuitoa hiyo mimba sas kma week moja iv imepita alkuw analalmika maumivu ya tumbo ,nikampelek hospital kupimwa bado anaonekn Ni mjamzito shida ni kwamba Badoo analalmika maumivu ya tumbo na kichwa,,naomben ushaur shida itakua n nn!?
Kaomba ushauri ndio nataka nimtumieJamaa hajaomba unachotaka kumtumia
kuna kaukweliHapo hakuna mimba ongea na docta vizuri, alafu usizuge wewe ni kaka sema umesharikoroga sasa unahaha na shule zinakaribia kufunguliwa!
na weka wazi alijaribu kutoa kwa njia gani?
Sinaga tabia za kutembea ovyo na mademu na siwezi kua na mhusian na mwanafunziHapo hakuna mimba ongea na docta vizuri, alafu usizuge wewe ni kaka sema umesharikoroga sasa unahaha na shule zinakaribia kufunguliwa!
na weka wazi alijaribu kutoa kwa njia gani?
sasa inamana dogo ajakuonyesha aliyempa mimba ili mshauriane, au kama si mwanafunzi wafungishe ya mkeka wakafurahie utamu!Sinaga tabia za kutembea ovyo na mademu na siwezi kua na mhusian na mwanafunzi
Mwache atuzuge hapa, bila kujua hata sisi wahenga tumeshapita huko!kuna kaukweli
Uyo jamaa nilijaribu kuongea nae na alikubali kuwa alikua anatoka na dogo ila swala la mimba sio yake,,pia dogo kuhusu kusom sina shida ata mwakani ataenda kusoma kashamaliza shulesasa inamana dogo ajakuonyesha aliyempa mimba ili mshauriane, au kama si mwanafunzi wafungishe ya mkeka wakafurahie utamu!
Pole ila we ni mtoto wa kiume hamuwezi mkadiscuss nae dogo yote mkamaliza mtafute mtu mzima unaemwamini labda shangazi au hata yeyote unaehisi ni mtu mzima na mwenye hekima amwelezee akishindwa kujua na kutatua tatizo hatakosa la kushauri .Nina mdogo wangu wakike bahati mbay tuko wawil tu wazaz walishatangulia sasa huyu mdogo ang kumbe alipata mimba na kwa kuniogopa alijaribu kuitoa hiyo mimba sas kma week moja iv imepita alkuw analalmika maumivu ya tumbo ,nikampelek hospital kupimwa bado anaonekn Ni mjamzito shida ni kwamba Badoo analalmika maumivu ya tumbo na kichwa,,naomben ushaur shida itakua n nn!?
sasa anayepaswa kusema mimba ni ya nani ni jamaa au Dogo?Uyo jamaa nilijaribu kuongea nae na alikubali kuwa alikua anatoka na dogo ila swala la mimba sio yake,,pia dogo kuhusu kusom sina shida ata mwakani ataenda kusoma kashamaliza shule
Huyo kashaijua mikuyenge hawezi soma tena trust me,atafute bwana tu azae alee si anapenda kuukali,aolewe awe na jukumu la maza house.Uyo jamaa nilijaribu kuongea nae na alikubali kuwa alikua anatoka na dogo ila swala la mimba sio yake,,pia dogo kuhusu kusom sina shida ata mwakani ataenda kusoma kashamaliza shule
Ntalifanyia Kaz japo ndugu zangu wengi wako mbali,nilimchukua dogo niishi nae kutokana na mazingira ya kijijini bahati mbaya ndo kaniletea baraaaPole ila we ni mtoto wa kiume hamuwezi mkadiscuss nae dogo yote mkamaliza mtafute mtu mzima unaemwamini labda shangazi au hata yeyote unaehisi ni mtu mzima na mwenye hekima amwelezee akishindwa kujua na kutatua tatizo hatakosa la kushauri .