Naomben ushauri jaman

Naomben ushauri jaman

myne

Member
Joined
May 17, 2013
Posts
80
Reaction score
5
Mke wangu hatak kushirik tendo la ndo nami hata siku ambazo hayupo period eti akidai kua mtoto ataharibika...kuna ukweli wowote kuhusu hili jaman????
 
Ndio kuna ukweli, japo hili si jukwaa lake !!
 
Mtongoze upya kwa njia zile zile za mwanzo, atanyong'onyea.
Au mtengenezee mazingira ya kumnyegesha, hatakuwa na ujanja.
 
Mke wangu hatak kushirik tendo la ndo nami hata siku ambazo hayupo period eti akidai kua mtoto ataharibika...kuna ukweli wowote kuhusu hili jaman????

jamani mie mbona mtoto wangu wa kwanza nilipomaliza arobaini tu na mzunguko wa blid ulipoanza wa kawaida nikaachia mambo na mtoto hajaharibika/kuchaha wala kuvuruguka.
Aaache kusikiliza hadithi za mabibi fanyeni mkimaliza mkaoge vizuri kabla hamjamshika mtoto.
 
Hakuna ukweli wowote ,ni old wives tales tu
 
mke wangu hatak kushirik tendo la ndo nami hata siku ambazo hayupo period eti akidai kua mtoto ataharibika...kuna ukweli wowote kuhusu hili jaman????
pole,ndugu kwa tatizo linalo kupata juu ya ndoa yako,1 sijui mtoto huyu mlio mpata ni wangapi,2 kama ni wa 1 basi mkewako anaitaji ushauri wa doctor wake wa clinik,yawezekana ni maneno ya kulishwa na mashoga zake,kwamba mkishiriki tendo la ndoa mtamwaribu,mtoto,sikweli,ila akijifungua anatakiwa akae siku 40 ili njia zake za uke wake,zirudi katika hali ya kawaida,baada ya siku 40,ruksa ninyi kupeana,sasa nawashauri mwone doctor wake wa clink kwa ushauri zaidi,
 
Hakuna mtoto kuharibika wala nini! Wazazi tunajua haya mambo bana. Cha msingi asijeshika mimba kabla mtoto hajaanza kutembea. Tumieni kinga na kamua kwa kwenda mbele. Ila kama wewe si baba wa huyo mtoto ndio ataharibika.
 
ingekuwa ni kweli mtoto anaharibika,sisi wote tungekuwa tumeharibika na tusingefika umri huu tukiwa wazima!
 
Mbembeleze tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
mwache dada wa watu apumzike jamani . sometimes nyie wanaume u are too selfish mnawaza kujifurahisha nyie tu bila kujali upande wa pili mtu ana hali gani.
 
jamani mie mbona mtoto wangu wa kwanza nilipomaliza arobaini tu na mzunguko wa blid ulipoanza wa kawaida nikaachia mambo na mtoto hajaharibika/kuchaha wala kuvuruguka.
Aaache kusikiliza hadithi za mabibi fanyeni mkimaliza mkaoge vizuri kabla hamjamshika mtoto.

Nakubaliana na wewe amu, hakuna kitu kama mtoto kubemendwa. Hizi ni fikra potofu zilizopitwa na wakati. Kama una wasiwasi mshirikisheni daktari. Nijuavyo mimi hakuna madhara yoyote mtoto anaweza kupata.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom