kuroot ni kitendo cha ku restore simu ili uwe na mamlaka kama ya developer wa simu...lengo kubwa la kuroot ni pale ambapo baadhi ya vitu vinasumbua kufunguka mpaka uwe na developer permissions.
mkuu kuroot simu za tecno mara nyingi inapelekeaga kuziharibu....inakua ukiwasha inaanza kuoptimize application zote za sim na ina weza kuchukua hata dakika 5 kuwasha tu simu yako
kuroot ni kitendo cha ku restore simu ili uwe na mamlaka kama ya developer wa simu...lengo kubwa la kuroot ni pale ambapo baadhi ya vitu vinasumbua kufunguka mpaka uwe na developer permissions.
Ni ku factory restore sema factory restore inaianzisha simu inakua kama ulivoinunua mpya ila kuroot unamuondolea mamlaka kabisa aliyeitengeneza hiyo simu na kujipa ww mwenyewe
Ni ku factory restore sema factory restore inaianzisha simu inakua kama ulivoinunua mpya ila kuroot unamuondolea mamlaka kabisa aliyeitengeneza hiyo simu na kujipa ww mwenyewe