Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Ushauri wako sio mkuu, vpi kama akimbandua na akawa ameunganishwa na gridi ya taifa, kwani maneno yanaua?huyo anakutaka
fanya fanya hima mbandue aanze kukutangazia mengine
Ushauri wako sio mkuu, vpi kama akimbandua na akawa ameunganishwa na gridi ya taifa, kwani maneno yanaua?huyo anakutaka
fanya fanya hima mbandue aanze kukutangazia mengine
Kama sio punga kweli potezea na kuwa na amani tuu comredy, issue inauma pale unapotangaziwa kuwa ni punga, na kweli ukawa unajihusisha.Sawa kaka tatizoo iyo sifa inazid kusambaa mpaka naanza kunyooshewa vidole inaninyima raha na amani ata ham ya kula na kazi nimeichukiaa
Asante mkuuAsee pole sana
I can feel your frustrations.. Kusingiziwa ni punga kwa mwanaume usiyefanya hiyo tabia halafu story zikaenea kitaa.. najaribu kuvaa viatu vyako.. job watu wanajua unabanduliwa kumbe Hapana!! Aiseee ni afadhali story kama hii ienee huku unafanya kweli.Nafanya kazi kweny taasis mfanyakaz mwenzangu ni binti toka siku yakwanza nimeajiriwa mapokez yake kwang kama hakufurahia ata akiniona ofisin hubadilika kabisa sasa hiv majuz zilivyoanza story za konkii akaanza kusambaza maneno kwamba na mimi niko ivyoo baadhi ya watu walinambia ilinikera sana ila walinishaur nimwache tu lakn kila siku inapoenda jina langu linazidi kuchafuka mtaan yanaanza kufuki isitoshe nina familia na mtoto juu nashindwa cha kufanya kusafisha jina langu
Man mfuate kishkaji ongea nae ujue tatizo lake ni nn. Akiomyesha kuto kutoa ushirikiano mpeleke kwenye vyombo vya sheria
yaan kitu hufanyi then unaumia kisaikolojia hakuna HR ofcn kwenu au watu wa discipline ,waite watu km watatu wazee na wafanyakazi wenzio wakiwemo marafiki zake na zako then muyaongee,ukishindwa dawa ni kumbadua tuSawa kaka tatizoo iyo sifa inazid kusambaa mpaka naanza kunyooshewa vidole inaninyima raha na amani ata ham ya kula na kazi nimeichukiaa
Jina sio kikwazo cha ilo jambo ni jina la kiume pia sio jina ninaloitwa just user name na limekuja tu si jui na sijaona uhusiano lakn asante kwa maneno yako piaUnaanzaje kuitwa Jaden, mambo mengine mnayatafuta wenyewe
Hahah hahahAkikutwa anatia mbuzi si ndo kumpoteza kijana wa watu jela miaka30 mkuu
Jamaa anajiita jaden na kajiunga november 22 2018, hizo tuhuma zinaweza zikawa sio za ukweli lakini huyu jamaa lazima ana mambo hayo ya u konkiUnaanzaje kuitwa Jaden, mambo mengine mnayatafuta wenyewe
Inaweza kuwa hata jina ameliiga kwa huyo dogo ili kuakisi upunga wake.Hilo jina la Jaden lenyewe unalotumia mmoja kati ya wenye jina hilo Jaden Smith ambae ni mtoto wa willy smith amejitangaza ni punga/shoga/gay.
Unapigwa na majinii wewe na .........mzaziInaweza kuwa hata jina ameliiga kwa huyo dogo ili kuakisi upunga wake.
Anajitangaza kiaina huyu.
Kuna uwezekano kuna ukweli kwny hili hahahInaweza kuwa hata jina ameliiga kwa huyo dogo ili kuakisi upunga wake.
Anajitangaza kiaina huyu.