naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
yeye ana degree ila hajapata kazi bado na ana kipato kutokana na kazi anazofanya ila mimi bado nasoma.na kiumri kanizidi miaka kumi
naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
yeye ana degree ila hajapata kazi bado na ana kipato kutokana na kazi anazofanya ila mimi bado nasoma.na kiumri kanizidi miaka kumi
naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
Aisee Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia, inauma sana hata watoto wadogo wanicheka sana, Inaniuma sana nikifikiria huwaga ninalia, inaniuma sana DEMU WANGU AMEPIMWA AMEKUTWA ANA NGOMA... Huo mstari wa mwisho ndiyo ujumbe wangu ukiendelea kug'ang'ania