Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
Ukitaka kuskia ya walimwengu basi kila mtu atakushauri kulingana na uchungu uliojaa moyoni mwake + uzoefu.
Wewe usikilize moyo wako kama bado unamuhitaji na unampenda.
Kwani hakuna mema amekufanyia maishani mwako ni hilo baya tu? Na ni kwa nn baya lichukue nafasi kuliko yale mema mengi?
Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
-Wewe bado unampenda?
-Hayo madhambi yake unaweza kumesa and kuishi nae tena pamoja?
-Wakati huo mliochana alikuwa anasupport malezi ya mtoto?
-Je anaonekana kubadilika?
-Je mliooana kisheria au kidini au tu mlizaa?