Ukiona umetenga chakula halafu mlaji akakigusagusa tu na kuacha,usikimbilie kudhani kuwa kashiba,yawezekana chakula chako ni kibaya.Sasa wewe badala ya kutafuta tatizo lilipo na kulitatua analeta fikra za kuwakiwa moto kwa mchungaji.Angalia usije ukakosa mwana na maji ya moto.