NAOMBA USHAURI.

NAOMBA USHAURI.

chuse 05

Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
12
Reaction score
1
Habarii..naomba ushauri wa kozi nayoweza kuomba diploma na degree pia nilisoma Cbg Nina CDC chem,bio,geo bam S sikuweza kuomba mwaka Jana.je kozi gani nzuri naweza omba intake unayokuja..
 
unataka diploma na degree kwa wakati moja? au umemaanisha nini
 
Kua specific .. ila uwezekano wa kusoma degree upo mkubwa tu mbona, vuta subira utajua mwaka huu mambo yakoje cha msingi uwahi kutuma maombi for the case of competition.
 
Kua specific .. ila uwezekano wa kusoma degree upo mkubwa tu mbona, vuta subira utajua mwaka huu mambo yakoje cha msingi uwahi kutuma maombi for the case of competition.
Kozi gani apo naweza omba
 
Zipo nyingi za afya nzuri, jaribu kupitia admission guide books za vyuo kama SUA, UDOM na UDSM utapata nzuri kikubwa kipindi cha kuafanya application uwahi ili kuidhibiti ile compitishen
Mbali na education
 
Zipo nyingi za afya nzuri, jaribu kupitia admission guide books za vyuo kama SUA, UDOM na UDSM utapata nzuri kikubwa kipindi cha kuafanya application uwahi ili kuidhibiti ile compitishen
Asantee
 
Back
Top Bottom