kuna watu hawajakua bado humu JMAliyekua mke wangu Kisha tukaachana Miaka 7 iliyopita, Tulibahatika kupata mtoto mmoja, mwaka jana akaamua kuchepuka na mwanaume mwingine na Kupata Mimba, sasa hivi karibuni amejifungua kwa Operation na Kupoteza Mtoto Ilikua ni yeye au mtoto mmoja kati yake Apone au Afe. Bahati mbaya au Nzuri Yeye amepona na kwa masikitiko mtoto amefariki akiwa tumboni. Sasa, kwanza hajaniambia hilo tukio pengine kwakua Bado yuko Hospital, wala hakuna ndugu yake aliyenipigia, Je, naweza kumpigia simu na kumtakia pole kwa hilo lililotokea? Maana amebaki kua mzazi mwenzangu na kwakua ananitunzia mtoto. Nipo njia panda.
Fanya ambalo unaona ni sahihi kwako, na ambalo unahisi litakuwa na amani ktk moyo wako, ukiamua kumpigia pia si mbaya kwani utaonekana muungwana lkn pia unaweza kaa kimya, yote hayo yapo ndani ya uwezo wako.Aliyekua mke wangu Kisha tukaachana Miaka 7 iliyopita, Tulibahatika kupata mtoto mmoja, mwaka jana akaamua kuchepuka na mwanaume mwingine na Kupata Mimba, sasa hivi karibuni amejifungua kwa Operation na Kupoteza Mtoto Ilikua ni yeye au mtoto mmoja kati yake Apone au Afe. Bahati mbaya au Nzuri Yeye amepona na kwa masikitiko mtoto amefariki akiwa tumboni. Sasa, kwanza hajaniambia hilo tukio pengine kwakua Bado yuko Hospital, wala hakuna ndugu yake aliyenipigia, Je, naweza kumpigia simu na kumtakia pole kwa hilo lililotokea? Maana amebaki kua mzazi mwenzangu na kwakua ananitunzia mtoto. Nipo njia panda.
no guys,huyu mwanamke ni mzazi mwezake na hatujui walivyoachana vigezo gani vya kisheria walikubaliana kutovibadilisha,kama mtaliki wa aliyekuwa first president wa SA huru,N.R.Mandela (rip) Winnie bado she still using Mandela as her surname or our former SG wa AU ,N.D.Zuma,mie naona mpigie simu even kwenda kumwona hospital fanya hivyo,ni mzazi mwenzako.and that will be a right thing to do.
Miaka saba mkuu makaratasi Hayo bana hajachepukaSikua nimewahi kumpa Talaka, ndo nasema alichepuka.
Mawasiliano yetu yalikua ni juu ya Mtoto tu. Kuhusu huduma na Shule basi.Kama mlikua na utaratibu wa kuwasiliana mara kwa mara unaweza mpigia.. Lakini kama mlikua mlishapotezana kupiga leo itakua ni unafiki na kumkejeli...
Shortly utakua unafurahia janga hilo..
Muache atoke ..apone.... Asahau ndo umcheki.
miaka saba hawaishi pamoja mkuuSa kama alichepuka had akapata mimba bro hlo ni tatzo lazima mmoja kati yenu ni jipu..
Mawasiliano yetu yalikua ni juu ya Mtoto tu. Kuhusu huduma na Shule basi.
afunguke tu tumshauriMeans hawana mawasiliano ya karbu kila mtu na 50 zake... na pia hajaweka waz waliachana kwa sababu gan pia kama walikuwa wanawasiliana mda wote huo, pia kama kila mtu kaingia kwenye mahusiano mengne...so kuna vtu vng vya kureason b4 kumshaur nn afanye...yaweza kuta jamaa alikuwa hajatulia had nae akaamua achepuke ama waliachana kwa ugomvi kias kwamba hakuna kuwasiliana wala wasijuane...