Asante sana kwa kuguswa na tatizo langu , pia nashukuru sana kwa kunitia moyo. nitakaa kimya kwanza ili yeye aanze kwenda mahakamani , nimeshapata mwanasheria ameniambia nisubiri kwanza aanze , halafu hata nyumba tuliyojenga itabidi iuzwe na aanze kutoa matunzo ya watoto. nafikiri atajuta kunianza.
Nashururu sana wana JF wote mlioguswa na tatizo langu.