jompyain
Member
- Feb 15, 2012
- 29
- 9
Unajamaa ambae muko nae sambamba kwakila hali unamtimizia nae anakutimizia hana mtu mwingine zaidi yako
hiyo imekaa kama mke na mume japo ndoa bado ,lakini katika tendo la ndoa mmekubaliana msiwe peku,
baada ya muda wa miaka miine sambamba munaamua kwenda kupima kama mpo swafi ili mfanye timisho,la ndoa
majibu yanatoka mweza wangu ameukwa ,naananambia nisamehe ficha siri tuoane hiuyohiuyo, je hapo pamekaaje sialikua ananiendea kinyume.nikubali au lilale mabupande?
hiyo imekaa kama mke na mume japo ndoa bado ,lakini katika tendo la ndoa mmekubaliana msiwe peku,
baada ya muda wa miaka miine sambamba munaamua kwenda kupima kama mpo swafi ili mfanye timisho,la ndoa
majibu yanatoka mweza wangu ameukwa ,naananambia nisamehe ficha siri tuoane hiuyohiuyo, je hapo pamekaaje sialikua ananiendea kinyume.nikubali au lilale mabupande?