Too general DA, wa2 wa namna hiyo wapo na huko CTC anako chukua dawa huyo dada huduma ya ushauri wa namna ya kuishi wenza wenye HIV status walonazo ipo, hivo wai2mie, kizuri zaidi ni kuwa hata mwenzie kaacha kujinyanyapaa amini wakizingatia wataish maisha ya amani!.KUNA IMPROVEMENT KUBWA MNO KTK HIV MANAGEMENT TOFAUTI NA HAPO AWALI SEMA TU JAMII NDO HAIJAELIMIKA VYA KUTOSHA NDO MAANA INAKUWA NGUMU KU2MIA HIZO HUDUMA ZILIZO TAYARI. Kwakifupi waende wote ctc kuna msaada mkubwa tu.
Dada, kwanza mm nakukaribisha sn ktk mtandao wetu wa sema usikike ktk jamii yetu, ila usivunje sheri, kwa mtu yeyote aliyeko humu kwenye mtandao au nje ya mtandao kwa kudhalilisha kwa namn yoyote ile, ili uwanja na carpet let au jamvi letu liweze kuwahabarish maelfu ya watu,
kuhusu jambo hili, dada nakupa pole kidogo tu, kwa hili lililotokea kwani hata mm limenikuta japo sijawahi kusema kuwa limenikuta llkn kwa ujasiri wako namm napenda kuwa wazi kwa hili, mm nilisafiri nje ya nchi nikiwa huku, nikasikia mke wangu anaumwa sn, tulikuwa tumeachana kama miezi mitano hivi alipopima akagundua kaathirika, lkn hakusema, niliporudi hakuwa wazi lkn alijikinga ili nisiambukizwe, lkn namshukuru sn Mungu nilipopimwa nikwa mzima, lkn mbele ya nesi mke wangu akawa analia, nikamwambia usihofu mke wangu, nitakuwa na ww kwa kila hali wala sifikirii kukuacha naposema mpaka ss niponae tunaishi maisha mazuri tu, watoto wetu wapo sekondari wengine wako primary school, napendakusema kuwa si lazima unisikilize mm au dada anaesema wanaume waongo sn atakubwaga sikumoja, c kweli sn mbona mm sijambwaga mke wangu tunakula tunda kivingine ci lazima liwe kama mwanzo,
jipe moyo mkuu sn, usiwaze wala kumfikiria sn mumeo kuwa ss anakula tunda kwa kumenya maganda wakati kwako ala kwa maganda, jitulize sn, ondoa gubu kabisa mbembeleze sn umlee zaidi ya mwanzo ili akupende zaidi ya mwanzo, usisikie la mtu maadam akubali kuwa atakuwa na ww kama mm nilipokubali mpende sn, leo toka alipoumwa mke wangu ni mwaka wanne, tupo woe na watoto wetu hawajui km mama aanumwa hiv.
Ubarikiwe sn.
Pole sana, we tulia muache yeye achague anachopenda, kwasababu yeye ndo anasema hivi mara vile.Habari ya muda wana JF
Kama nilivyowaambia kabla kuwa huyu mume wangu ana kigeugeu sasa hivi kaja na mpya tena anasema hana tena imani na mimi kama naweza kumlinda hivyo ni bora tuachane. Ila alichonichanganya zaidi anasema nyumba inabidi iuzwe. hayao aaliyasema jana, leo asubuhi kabadilisha tena anasema hapana tusiachane tutengane tu. Mpaka naondoka sikupata kujua ni nini anataka kuachana au kutengana? Habari ndo hiyo ndugu zangu
Huyo mumeo ni muongo sana tena wa kutupwa..........................iko siku utakuja kusema hapa.................wanaume walivyo wakali eti akubali hali uliyonayo ha ha ha ha ha wewe unacheza na kusikia kwenye redio akubali eti yeye mzima sio kweli nikwambie..........................
Michelle mambo?My dear sister, mbona wapo ninawajua wanawake wameathirika na wanaume hawajaathirika or lets say virusi havijaonekana na wanaishi??? cases kama hizi zipo....wanaume hawafanani kwenye hili....labda tu tumshauri Baraka wakapime na mumewe ahakiki hali ya mumewe lakini najua kama anampenda atampenda tu hata kwenye hali hiyo!
Habari ya muda wana JF
Kama nilivyowaambia kabla kuwa huyu mume wangu ana kigeugeu sasa hivi kaja na mpya tena anasema hana tena imani na mimi kama naweza kumlinda hivyo ni bora tuachane. Ila alichonichanganya zaidi anasema nyumba inabidi iuzwe. hayao aaliyasema jana, leo asubuhi kabadilisha tena anasema hapana tusiachane tutengane tu. Mpaka naondoka sikupata kujua ni nini anataka kuachana au kutengana? Habari ndo hiyo ndugu zangu
Nashukuru sana wote kwa ushauri wenu, ila mimi wasiwasi wangu ni kuwa je ni kweli anamaanisha anachokisema?
Maana kwa jinsi ninavyomuelewa anaweza kusema hivyo lakini bado hajawa na maamuzi kamili. Na wasiwasi wangu umenidhihirishia baada ya sasa kuanza vituko,
Mfano jumamosi nilimuuliza kama ataenda na watoto kumuona babu yao anaeumwa akasema hajajua, baada ya mimi kuondoka kwenda kazini alikwenda nao na akawaacha walale huko bila kunitaarifu, na hapo yule mtoto wa kwetu wote naumwa na kuna dawa anatumia na ameziacha nyumbani, baada ya mimi kurudi nyumbani na kugundua kuwa mtoto hatarudi na dawa ameziacha nikampigia kumuuliza sasa tunafanyaje maana dose itaharibika, akasema subiri nakuja tena kwa hasira, na aliporudi alikuwa kimya wala hakulizungumzia na likuwa amelewa, asubuhi pia akawa kimya, sasa ni visa tu na juzi amempeleka mtoto kwa aunt yake bila mimi kujua pia mpaka leo hajarudi, yaani kama mtu mwenye bifu fulani hivi na maelewano hakuna, na jana amelala kwenye chumba cha watoto.
Hio ndioo hali halisi ndugu zangu haya naendelea kusikiliza ushauri wenu.
Habari wana jamii wote,ni mara yangu ya kwanza kuingia huku kwenye forum hii
Naomba sana mnipe ushauri wenu kwa haya nitakayoyaeleza hapa
Mimi nimeolewa nina miaka 13 katika ndoa, nina mtoto mmoja wa kiume mwenye miaka 12, mume wangu ana mtoto wa kike mwenye miaka 10 aliezaa na mwanamke mwingine.
tatizo langu ni kuwa miaka mitatu iliyopita niligundua kuwa nimeathirika na sasa natumia dawa za kupunguza makali(ARV)
Nilishindwa kumweleza mume wangu kuhusu hali yangu kwa kuwa kila nilipomshauri kuhusu kupima afya alikuwa hataki akidai kuwa siku akigundua kuwa ameathirika atakufa. Ila mimi nilipogundua kuwa nimeathirika nikawa sikubali kufanya mapenzi bila kutumia kinga, ingawa wakati mwingine alikuwa analazimisha lakini sikuwa tayari.
Hivi karibuni akanieleza kuwa amegundua kuhusu hali yangu baada ya kuona kadi yangu ya clinic, na yeye ameenda kupima na amesema yeye hajaathirika, hivyo kasema tuendelee kuishi bila watu kujua.
Mimi nikampa option kuwa kwa kuwa yeye ni mzima basi nisimbane kama atahitaji awe na mwenza mwingine basi tunaweza kuachana na yeye akaanza maisha mapya, lakini kasema kuwa haiwezekani tuachane kwa kuwa tumeishi muda mrefu na tumesaidiana mengi.
sasa naomba ushauri wenu je hili linawezekana? Au mna ushauri gani?
Ahasanteni
Nashukuru sana wote kwa ushauri wenu, ila mimi wasiwasi wangu ni kuwa je ni kweli anamaanisha anachokisema?
Maana kwa jinsi ninavyomuelewa anaweza kusema hivyo lakini bado hajawa na maamuzi kamili. Na wasiwasi wangu umenidhihirishia baada ya sasa kuanza vituko,
Mfano jumamosi nilimuuliza kama ataenda na watoto kumuona babu yao anaeumwa akasema hajajua, baada ya mimi kuondoka kwenda kazini alikwenda nao na akawaacha walale huko bila kunitaarifu, na hapo yule mtoto wa kwetu wote naumwa na kuna dawa anatumia na ameziacha nyumbani, baada ya mimi kurudi nyumbani na kugundua kuwa mtoto hatarudi na dawa ameziacha nikampigia kumuuliza sasa tunafanyaje maana dose itaharibika, akasema subiri nakuja tena kwa hasira, na aliporudi alikuwa kimya wala hakulizungumzia na likuwa amelewa, asubuhi pia akawa kimya, sasa ni visa tu na juzi amempeleka mtoto kwa aunt yake bila mimi kujua pia mpaka leo hajarudi, yaani kama mtu mwenye bifu fulani hivi na maelewano hakuna, na jana amelala kwenye chumba cha watoto.
Hio ndioo hali halisi ndugu zangu haya naendelea kusikiliza ushauri wenu.
Ahasante (Pihu)
Mimi kama sijapata kwake basi nitakuwa nilipata kabla ya kuolewa
Huo ndio ukweli wangu ndugu yangu.
Habari ya muda wana JF
Kama nilivyowaambia kabla kuwa huyu mume wangu ana kigeugeu sasa hivi kaja na mpya tena anasema hana tena imani na mimi kama naweza kumlinda hivyo ni bora tuachane. Ila alichonichanganya zaidi anasema nyumba inabidi iuzwe. hayao aaliyasema jana, leo asubuhi kabadilisha tena anasema hapana tusiachane tutengane tu. Mpaka naondoka sikupata kujua ni nini anataka kuachana au kutengana? Habari ndo hiyo ndugu zangu
Baraka_41 mpendwa.
Sikiliza kwa makini ushauri wa babu.
Nime quote posts zako zote ili kuunganisha mtiririko wa matukio ya kisanga hiki.
Nazungumza hapa kama mwanaume ambaye nazijua vema tabia zetu wanaume. Nazungumza pia kama mme wa bibi yenu ambaye ni mdau mkubwa katika masuala haya ya HIV/AIDS.. Huwa ananiambiaga visa vya kushangaza na kusikitisha sana.
Kama ulichokiandika hapa na kukiri kwa nafsi na mbele za Mungu kuwa ni ukweli mtupu basi:
1. Mume wako ameathirika na VVU ala anakuficha
2. Ndiye aliyekuambukiza VVU, ila anajaribu kukimbia kivuli chake
3. Anakutafutia sababu akufanyie kitu kibaya
Babu anakushauri, chukua tahadhari. Usikubali kuwa anakupenda kivile. Kwa mtu kama huyu, best option anayoiona babu ni kutengana naye. Kama anadiriki kukuficha ukweli na kukufanyia visa kama hivyo, iko siku atakushangaza kwa kubwa zaidi. ...Unarudi toka kazini unakuta nyumba ina watu wengine kabisaaaaa! Imeshauzwa.
Anywa, pole sana ndugu yangu. Ila maisha lazima yasonge mbele. Ishi kwa matumaini, zingatia masharti ya madaktari, mwombe Mungu akusaidie kuukabili huu mtihani....
Amini amini nakuambia, muda si mrefu dawa itapatikana.
Mungu akubariki sana.
Babu anarudi kitandani.
Aksante sana babu.
Baraka_41 mpendwa.
Sikiliza kwa makini ushauri wa babu.
Nime quote posts zako zote ili kuunganisha mtiririko wa matukio ya kisanga hiki.
Nazungumza hapa kama mwanaume ambaye nazijua vema tabia zetu wanaume. Nazungumza pia kama mme wa bibi yenu ambaye ni mdau mkubwa katika masuala haya ya HIV/AIDS.. Huwa ananiambiaga visa vya kushangaza na kusikitisha sana.
Kama ulichokiandika hapa na kukiri kwa nafsi na mbele za Mungu kuwa ni ukweli mtupu basi:
1. Mume wako ameathirika na VVU ala anakuficha
2. Ndiye aliyekuambukiza VVU, ila anajaribu kukimbia kivuli chake
3. Anakutafutia sababu akufanyie kitu kibaya
Babu anakushauri, chukua tahadhari. Usikubali kuwa anakupenda kivile. Kwa mtu kama huyu, best option anayoiona babu ni kutengana naye. Kama anadiriki kukuficha ukweli na kukufanyia visa kama hivyo, iko siku atakushangaza kwa kubwa zaidi. ...Unarudi toka kazini unakuta nyumba ina watu wengine kabisaaaaa! Imeshauzwa.
Anywa, pole sana ndugu yangu. Ila maisha lazima yasonge mbele. Ishi kwa matumaini, zingatia masharti ya madaktari, mwombe Mungu akusaidie kuukabili huu mtihani....
Amini amini nakuambia, muda si mrefu dawa itapatikana.
Mungu akubariki sana.
Babu anarudi kitandani.