my dear naongea kwa uzoefu wa kufanya kazi na hao watu na kuishi nao ni ngumu kukubali kirahisi hivyo wapo sikatai lakini he he he unapima unakimbia majibu usifanye mchezo dada hii kitu isikie tu kwenye tv na radio inatisha na kuogopesha sana.
Any way sibishi wala sikatai wapo hao wanaoishi positive na negative tena wengi tu lakini fatilia wengi walivyo si rahisi hivyo ma dear.................
upo sahihi kabisa dena 100%,
siyo rahisi kabisa kukubali kirahisi hivyo,wengi wanakubali baada ya kushauriwa na sana na washauri nasaha hosp,wanasaikolojia tena kwa muda wa kutosha na maelezo ya kutosha.
Lakin labda ni mwanaume mwelewa na anampenda sana mkewe,
ila ni vizuri sana wakienda bega kwa bega hosp,wakapima na kupata majibu kwa pamoja ili hata mwanamke ajihakikishie kwa macho yake kuwa kweli mumewe hajaathirika,na ni kweli anampenda anasimama na kuwa naye pamoja hata kwenye hiki cha changamoto kwake kiafya.
Nakwambia kuna mmoja tuliwahi kumpima (alikuwa taxi driver) alitoka angaza magomeni kwa miguu mbio mpaka kwao msasani kaacha gari pale hosipital na hiyo ni baada ya yeye kuwa negative mwanamke positive alikimbia hata kumshika wala kuongozana nae hataki.
Hizo kesi ninazo nyingi sasa huyu akisema hivi tu nishamsoma tayari wewe heehe nakwambia hivi sikiaga tu kwa watu si yakufike..............
Hii kitu ngumu bana wewe eti akubali kilaini tu hivyo........................labda ana moyo wa chuma mwenzetu
kumbe wewe ni mshauri, sijui wa ANGAZA? utakuwa umeshauri ya maana
Karibu Tuzungumze bali nimehama kituo kwa sasa ukitaka details ni PM
Nakwambia kuna mmoja tuliwahi kumpima (alikuwa taxi driver) alitoka angaza magomeni kwa miguu mbio mpaka kwao msasani kaacha gari pale hosipital na hiyo ni baada ya yeye kuwa negative mwanamke positive alikimbia hata kumshika wala kuongozana nae hataki.
Hizo kesi ninazo nyingi sasa huyu akisema hivi tu nishamsoma tayari wewe heehe nakwambia hivi sikiaga tu kwa watu si yakufike..............
Hii kitu ngumu bana wewe eti akubali kilaini tu hivyo........................labda ana moyo wa chuma mwenzetu
Habari wana jamii wote,ni mara yangu ya kwanza kuingia huku kwenye forum hii
Naomba sana mnipe ushauri wenu kwa haya nitakayoyaeleza hapa
Mimi nimeolewa nina miaka 13 katika ndoa, nina mtoto mmoja wa kiume mwenye miaka 12, mume wangu ana mtoto wa kike mwenye miaka 10 aliezaa na mwanamke mwingine.
tatizo langu ni kuwa miaka mitatu iliyopita niligundua kuwa nimeathirika na sasa natumia dawa za kupunguza makali(ARV)
Nilishindwa kumweleza mume wangu kuhusu hali yangu kwa kuwa kila nilipomshauri kuhusu kupima afya alikuwa hataki akidai kuwa siku akigundua kuwa ameathirika atakufa. Ila mimi nilipogundua kuwa nimeathirika nikawa sikubali kufanya mapenzi bila kutumia kinga, ingawa wakati mwingine alikuwa analazimisha lakini sikuwa tayari.
Hivi karibuni akanieleza kuwa amegundua kuhusu hali yangu baada ya kuona kadi yangu ya clinic, na yeye ameenda kupima na amesema yeye hajaathirika, hivyo kasema tuendelee kuishi bila watu kujua.
Mimi nikampa option kuwa kwa kuwa yeye ni mzima basi nisimbane kama atahitaji awe na mwenza mwingine basi tunaweza kuachana na yeye akaanza maisha mapya, lakini kasema kuwa haiwezekani tuachane kwa kuwa tumeishi muda mrefu na tumesaidiana mengi.
sasa naomba ushauri wenu je hili linawezekana? Au mna ushauri gani?
Ahasanteni
Karibu Tuzungumze bali nimehama kituo kwa sasa ukitaka details ni PM
Habari wana jamii wote,ni mara yangu ya kwanza kuingia huku kwenye forum hii
Naomba sana mnipe ushauri wenu kwa haya nitakayoyaeleza hapa
Mimi nimeolewa nina miaka 13 katika ndoa, nina mtoto mmoja wa kiume mwenye miaka 12, mume wangu ana mtoto wa kike mwenye miaka 10 aliezaa na mwanamke mwingine.
tatizo langu ni kuwa miaka mitatu iliyopita niligundua kuwa nimeathirika na sasa natumia dawa za kupunguza makali(ARV)
Nilishindwa kumweleza mume wangu kuhusu hali yangu kwa kuwa kila nilipomshauri kuhusu kupima afya alikuwa hataki akidai kuwa siku akigundua kuwa ameathirika atakufa. Ila mimi nilipogundua kuwa nimeathirika nikawa sikubali kufanya mapenzi bila kutumia kinga, ingawa wakati mwingine alikuwa analazimisha lakini sikuwa tayari.
Hivi karibuni akanieleza kuwa amegundua kuhusu hali yangu baada ya kuona kadi yangu ya clinic, na yeye ameenda kupima na amesema yeye hajaathirika, hivyo kasema tuendelee kuishi bila watu kujua.
Mimi nikampa option kuwa kwa kuwa yeye ni mzima basi nisimbane kama atahitaji awe na mwenza mwingine basi tunaweza kuachana na yeye akaanza maisha mapya, lakini kasema kuwa haiwezekani tuachane kwa kuwa tumeishi muda mrefu na tumesaidiana mengi.
sasa naomba ushauri wenu je hili linawezekana? Au mna ushauri gani?
Ahasanteni
thanks, ila sijui utanikonvisi vipi nikapime..nikiwa tayari nitakutafuta
It seems wewe ndo umeutoa huko ulikoutoa. Pole sana sana!! ingawa stori yako inashangza kidodo, ulikuwa ukitumia kondumu ulikuwa ukimweleza nini mumeo? kuwa unazuia nini? hakushangaa au ni kawaida yenu? kama yeye amekubali mshukuru Mungu, basi muishi kama atakavyo ila usimuambukize.
Bado kuna maswali, sasa umeishi na mumeo kwa muda wa miaka 13 na sasa umekuja kugundua hivyo sasa wewe umeutoa wapi??Na iweje mumeo asiwe nao??Nadhani hiyo ni impossible zaidi fata ushauri wa member wengine kwamba mchukue muende mkapime pamoja na muangalie..Pole sana!
Huo ukaribisho ni mzuri sana,
lakin Dena kuja kituoni kupima si tatizo gumu sana,
ugumu unakuja pale kwenye kupokea majibu,
Mshauri anapoanza kuonesha bahasha ndiyo mtu unaona mapigo ya moyo kama,
yanataka kutoka na kijasho chembamba kinaanza kutoka hata kama humo hosp,
kuna AC ya kutosha......na ndiyo maana kipengele cha kupokea majibu wengi ni tatizo sana bila elimu ya kutosha toka kwa mshauri nasaha basi majibu mengi yataachwa vituoni......lol
thanks, ila sijui utanikonvisi vipi nikapime..nikiwa tayari nitakutafuta