kuna ndugu yangu sasa anamiaka 20 na anadai kwamba hajawahi kufanya zinaa je?kuna madhara yoyote anayo weza kupata
/ jinsia ni MVULANA
Hakuna madhara ambayo anaweza kupata...! Hisipokuwa madhara atayapata atapoanza zinaa!:yield:naomba mpe namba yangu ya simu nije kumuonyesha madhara atakayo yapata>>>>>>>>>>>>>>>uraaaaaaa nicheke mie
kuna ndugu yangu sasa anamiaka 20 na anadai kwamba hajawahi kufanya zinaa je?kuna madhara yoyote anayo weza kupata
/ jinsia ni MVULANA
nanihii zitaganda.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us