fagix
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 741
- 563
Nadhani hiki chuo nacho kitafutwa muda si mrefu
Km kweli tunataka kutoa elimu bora na wataalamu bora
Anyway wenye chuo mnaweza msinielewe ila nilishawahi kusoma st Joseph aka st JoJo najua A to Z ya tabia ya wahindi
Km tuna kitu hawatakaa wakisahau ni sisi 500+ tuliokuwa tukisoma st Joseph ya arusha
Tuligoma hadi ikafikia tukafukuzwa tukidai curriculum,prospectus and qualified lecturers.
Baada ya kukua mtaani kwa miezi takiribani Tisa setkali ya JPM ilitsmbua mchango wetu na kuvifuta vyuo hivi vishiriki vya st Joseph arusha na songea.Na kuamua kuturudisha sisi 500+ vyuo na kuendelea kutupatia mkopo km ilivyokuwa awali.
Hivyo naamini km serkali itaamua kupunguza vyuo vikuu bas hicho chenu hakiponi kamwe.
Km kweli tunataka kutoa elimu bora na wataalamu bora
Anyway wenye chuo mnaweza msinielewe ila nilishawahi kusoma st Joseph aka st JoJo najua A to Z ya tabia ya wahindi
Km tuna kitu hawatakaa wakisahau ni sisi 500+ tuliokuwa tukisoma st Joseph ya arusha
Tuligoma hadi ikafikia tukafukuzwa tukidai curriculum,prospectus and qualified lecturers.
Baada ya kukua mtaani kwa miezi takiribani Tisa setkali ya JPM ilitsmbua mchango wetu na kuvifuta vyuo hivi vishiriki vya st Joseph arusha na songea.Na kuamua kuturudisha sisi 500+ vyuo na kuendelea kutupatia mkopo km ilivyokuwa awali.
Hivyo naamini km serkali itaamua kupunguza vyuo vikuu bas hicho chenu hakiponi kamwe.