Naomba ushauri wa kibiashara nina milioni moja

Naomba ushauri wa kibiashara nina milioni moja

Tzgreatthinker

New Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
2
Reaction score
0
Habarini za jioni ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 22 nimesoma mpaka elimu ya chuo ila sijapata kazi nimejichanga kwa sasa nina kiasi cha milioni moja naombeni ushauri wa kibiashara maana nimechoka kuwaza peke yangu. NAOMBA KUWASILISHA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom