Hongera sana mkuu kwa kuthubutu
Kuhusu kilimo cha mahalage kwa mwezi wa pili naona utakuwa sawa maana mahalage ayaitaji joto la chini kwaiyo unaweza kupata mavuno mengi ata ivyo utakuwa na miezi miwili na nusu iv ya mvua Yan 2-4½ itakuwa kitu kizuli sana maana kipindi mahalage yanotoa mauwa inabid mvua isiwepo ili kiluhusu uchavushaji, Kama ukizingatia vizuli kanuni za kilomo yan uwekaji wa mbolea na kupalilia unaweza vuna mazao mengi... Lkn pia sijua Kama utauza kwa plastic au kilo au utatumia madalali
Kwenye upande wa mahindi kwa sababu n ya kuchoma huwa yana chukua miezi 4-5 iv itategemeana na aina ya mbegu yako, tufanye takwimu kidogo
Arce moja ni sawa 70m × 70m =4900m²
Mstali adi mstali 75cm
Mche adi mche 25cm
Jumla ya mimea 26133
Tufanye Kama mimea 133 imekufa kutokana na athali za mazingila kwaiyo itabaki mimea 26000
Kuhusu soko sijajua Kama utauza wakati ipo shamaban maana utamuuzia dalali tufanye takwimu kidogo
Muhindi moja 100 Tsh
Jumla ya mahindi 26000
Mkusanyo wa pesa 2,600,000
Kama utamuuzi mchoma mahindi moja kwa moja tufanye ( yani inabid uvune alafu utafute kituo cha kuhuzia yan ww ndo unakuwa Kama muuzaji mkuu)
Muhindi mmoja 150 Tsh
Jumla ya mahindi 26000
Muhindi mmoja 150
Mkusanyo ya pesa 3,900,000 Tsh
Lkn kama tatafuta sehemu ya kuuzia Yan utauza moja kwa moja kwa mchoma mahindi itakuwa ni vizuli maana yale majan ya nayo funika muhindi uwa yana punguzwa ili kulahisisha usafilishaji kwaiyo unaweza kuyakusanya na kuyauza kwa wafungaji wa Ng'ombe na Mbuzi ivyo basi ukapata faida zaidi
Sent using
Jamii Forums mobile app