Naomba ushauri nataka ku reseat o'level examination

Naomba ushauri nataka ku reseat o'level examination

richad

Member
Joined
Jan 13, 2019
Posts
14
Reaction score
3
Jamani poleni na majukumu natumaini muwazima wa afya naomben ushauri kuhusu swala la kurudia mtihani was kidato cha nne nataka nirudie masomo ya science ambayo awali sikuyafanya je inawezekana naombeni msaada wenu, matokeo yangu ya mwanzo yalikuwa hivi:
Language-D
History-C
Geography-D
Kiswahili-D
Biology-D
Civics-D
B/math-F
Sasa natal nirudie mtihani wangu wa kidato cha nne mwakani kwenye masomo ya science je inawezekana wapendwa nisaidieni kimawazo kuhusu hili
 
Jamani poleni na majukumu natumaini muwazima wa afya naomben ushauri kuhusu swala la kurudia mtihani was kidato cha nne nataka nirudie masomo ya science ambayo awali sikuyafanya je inawezekana naombeni msaada wenu, matokeo yangu ya mwanzo yalikuwa hivi:
Language-D
History-C
Geography-D
Kiswahili-D
Biology-D
Civics-D
B/math-F
Sasa natal nirudie mtihani wangu wa kidato cha nne mwakani kwenye masomo ya science je inawezekana wapendwa nisaidieni kimawazo kuhusu hili
Simamia ndoto zako weka na juhud utaona kuwa hakuna linaloshindikana chini ya jua.
 
Kila kitu kinawezekana,usiache kutimiza ndoto kamwe katika maisha yako...!
 
mbona sioni msingi wa tahasusi ya sayansi hapo . kama hujasoma physics bado utakuwa hujasoma sayansi
 
Back
Top Bottom