Hiyo Mistari ya streach mark iliyokutokea kwa sababu ya unene kwani inakudhuru?Mkuu. kasweety Dawa yake ni hii hebu ona video ....................habari zenu wana jf,,,,,,miminasumbuliwa na mistari mwilini yani streach mark ziko kiunoni na mapajani,,,,,nimejaribu dawa za sh amor mda sana bila mafanikio zimenitokea baada ya kunenepa, ,,,,,,,,nisaidieni nipone natamani niwe kama zamani