Naomba ushauri, Mpenzi wangu hapokei simu

Naomba ushauri, Mpenzi wangu hapokei simu

musajohn58

Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
34
Reaction score
8
Nina mpenzi wangu msichana mzuri tu ambae anafanya kazi shule moja ya secondary ila mm sina kazi npo tu mtaani Nina komaa na kibishi.

sasa kinachofanyika yule demu wangu ambae ni mpenzi wangu kabadilika kama wiki kazaa zilizopita, nikimtumia SMS hajibu kwa mda, nkimtumia SMS kwa WhatsApp baada ya mda itaonesha Derivering kuwa imesomwa lakin haijibiwi, mda mwingine nikimpigia simu hapokea.

Nimejaribu kumuuliza shida nn anasema Yuko bizy, kibaya zaidi nikimwomba game ananiambia hana mda wa kufanya hivyo, yaan ninampenda huyu bint ila inaniuma sana. Naomba ushauri wako nifanyaje!!
 
Nina mpenzi wangu msichana mzuri tu ambae anafanya kazi shule moja ya secondary ila mm sina kazi npo tu mtaani Nina komaa na kibishi, sasa kinachofanyika yule demu wangu ambae ni mpenzi wangu kabadilika kama wiki kazaa zilizopita, nikimtumia SMS hajibu kwa mda, nkimtumia SMS kwa WhatsApp baada ya mda itaonesha Derivering kuwa imesomwa lakin haijibiwi, mda mwingine nikimpigia simu hapokea, nmejaribu kumuuliza shida nn anasema Yuko bizy, kibaya zaidi nikimwomba game ananiambia hana mda wa kufanya hivyo, yaan ninampenda huyu bint ila inaniuma sana. Naomba ushauri wako nifanyaje!!
tafuta maisha kijana wacha kuendekeza mapenzi mapenzi. Ndiyo maana huyo binti hataki ilo tendo na Amekwambia hana Muda wa kufanya mambo hayo.

Mwenzako yupo bize kutafuta Maisha wewe unaendekeza zinaa tu.
 
IMG_20161217_162600_098.JPG
 
Ndio maana bi mkubwa alisisitiza nitafute pesa..... Warembo wanaomba wenyewe appointment ya kugegedwa...
 
Ndio maana bi mkubwa alisisitiza nitafute pesa..... Warembo wanaomba wenyewe appointment ya kugegedwa...
Dah nahisi mama yako anaushauri kama wa bimkubwa wangu...uzuri ulishawekwa wazi kabisa kuwa wanawake wee kamatia pesa ugegede tuu.
 
Tafuta kazi. Ukiwa na kipato utakuwa na uhuru wala hutohofia "mawazo yako mwenyewe"

Kifupi unajitesa mwenyewe kwasababu unajishtukia. Si unaona umesema masuala ya kazi? Halafu ukasema wewe huna kazi?

Tafuta kazi acha ulofa, mabinti siku hizi wanapenda watu wanaojishughulisha.
 
Hapo kuna mawili, huenda kaokoka, Au anamawazo ya kuolewa mapema, so kaona wewe unapass time tu bado hujajipanga
 
Back
Top Bottom