Poleni na majukumu katika ujenzi wa taifa. Nina mdogo wangu wa kike kamaliza form four 2019 na matokeo yake yako kama ifuatavyo.
CIV-C ,HIST-C ,GEO- C ,BIBLE- C ,KISW-C, ENGL-C, PHY-D, CHEM-D ,BIOS-C & MATH-D
DIVISION TWO POINT 20
Sasa shida inakuja ndoto zake alipenda kwenda kusomea udaktari lakini baada ya matokeo hayo kutoka kaka zake tunampa hongera lakini dogo kawa frustrated kwamba ndoto zake zimekufa kulingana na ambavyo hajafanya vizuri masomo ya Sayansi.
Lakini mimi nilishauri akasome HGL Advanced endapo atapata selection shule ya serikali nzuri au asipopata nimekwisha mchukulia fomu private lakini kakubali kishingo upande japo mimi najua watu wengi huwa wana ndoto katika kusoma lakini mwisho wake huenda kusoma vitu tofauti.
Hebu ushauri wenu chanya, je aende Advanced au akasome Certificate ya kile ambacho ni ndoto yake?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
CIV-C ,HIST-C ,GEO- C ,BIBLE- C ,KISW-C, ENGL-C, PHY-D, CHEM-D ,BIOS-C & MATH-D
DIVISION TWO POINT 20
Sasa shida inakuja ndoto zake alipenda kwenda kusomea udaktari lakini baada ya matokeo hayo kutoka kaka zake tunampa hongera lakini dogo kawa frustrated kwamba ndoto zake zimekufa kulingana na ambavyo hajafanya vizuri masomo ya Sayansi.
Lakini mimi nilishauri akasome HGL Advanced endapo atapata selection shule ya serikali nzuri au asipopata nimekwisha mchukulia fomu private lakini kakubali kishingo upande japo mimi najua watu wengi huwa wana ndoto katika kusoma lakini mwisho wake huenda kusoma vitu tofauti.
Hebu ushauri wenu chanya, je aende Advanced au akasome Certificate ya kile ambacho ni ndoto yake?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app