Habari wanaJF
Nakuja kweni naomba ushauri wa gari aina ya Mistubishi Pajero Mini.
1.Upatikanaji wa 'spare'
2.Matatizo ya hizi gari
3.ushauri wa bandari bila kuhusisha kodi ya TRA
mkuu inaonekana umekaririMdau usijaribu kununua hiyo gari, utajuta.
Spea zake ni adimu sana na zikipatikana huwa ni kwa bei ya juu.
Ninayo toka japani kwa tz ina miezi 4 ss haijatumika namba CMJ, engine 650cc inakula mafuta kidogo sana ukihitaji ni PMHabari wanaJF
Nakuja kweni naomba ushauri wa gari aina ya Mistubishi Pajero Mini.
1.Upatikanaji wa 'spare'
2.Matatizo ya hizi gari
3.ushauri wa bandari bila kuhusisha kodi ya TRA
mkuu ni manual au automatic?Ninayo toka japani kwa tz ina miezi 4 ss haijatumika namba CMJ, engine 650cc inakula mafuta kidogo sana ukihitaji ni PM
automaticmkuu ni manual au automatic?
Ninayo toka japani kwa tz ina miezi 4 ss haijatumika namba CMJ, engine 650cc inakula mafuta kidogo sana ukihitaji ni PM
MITSUBISHI PAJERO MIN XR IIHabari wanaJF
Nakuja kweni naomba ushauri wa gari aina ya Mistubishi Pajero Mini.
1.Upatikanaji wa 'spare'
2.Matatizo ya hizi gari
3.ushauri wa bandari bila kuhusisha kodi ya TRA
Mmmmmmhmn wewe hauzijui pajero kumbe.....Kwanza ushasema pajero mini, inamaana hata space ndani ni ndogo
Pia hile gari ni kama landcruiser Hardtop haiitaji kwenye kona upite na mbwembwe otherwise utalia.
Hazina mwendo kivile, maana husishangae ukashindwa kulipita hata bus la mchina