Naomba ushauri kuhusu ujenzi

Naomba ushauri kuhusu ujenzi

BradFord93

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
921
Reaction score
2,243
Baada ya kutafuta pesa sasa nmeona kuwa hatua ifuatayo ni kujenga

Sema tatizo linakuja kwenye jinsi ya kufanya ujenzi.....i mean hatua maana naamini tunajua ujenzi wetu sisi watu wa chini ni kwa hatua

Ombi langu ni kuwa naomba kupata ushauri kutoka kwa watu ambao wana ufaham kuhusu kujenga kwa hatua

Nyumba ninayohitaji kuijenga ni
Vyumba 2 moja master
Choo ndan
Sittng rum
Valanda

Niliwaza kuwa nanunua cement na mbao niweke ndan taratibu ili iwe rahisi zaidi

Naombeni ushauri wenu

Natanguliza shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1) Naamini hatua ya kupata kiwanja umekwishaifanya.
2) Na labda ramani ya unachotaka kujenga pia unayo.
3) Iwapo kiwanja ni vile vya kupimwa bila shaka ramani yako imepitishwa kunakopaswa na una kibali cha kujenga.

Kwa viwanja vyetu vya kienyeji visivyopimwa hatua ya 3 siyo lazima.

Kama hayo bado anzia hapo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cement iwe ya mwisho kabisa, Anza na rasilimali zisizoharibika Kama mawe, mchanga, kokoto, nondo, misumari, mabati. Tofali chukua wiki moja kabla ya ujenzi kuanza na cement pia maana Cement unaweza chukua muda wowote hata ujenzi ukiwa unaendelea.
 
Cement iwe ya mwisho kabisa, Anza na rasilimali zisizoharibika Kama mawe, mchanga, kokoto, nondo, misumari, mabati. Tofali chukua wiki moja kabla ya ujenzi kuanza na cement pia maana Cement unaweza chukua muda wowote hata ujenzi ukiwa unaendelea.
 
Baada ya kutafuta pesa sasa nmeona kuwa hatua ifuatayo ni kujenga

Sema tatizo linakuja kwenye jinsi ya kufanya ujenzi.....i mean hatua maana naamini tunajua ujenzi wetu sisi watu wa chini ni kwa hatua

Ombi langu ni kuwa naomba kupata ushauri kutoka kwa watu ambao wana ufaham kuhusu kujenga kwa hatua

Nyumba ninayohitaji kuijenga ni
Vyumba 2 moja master
Choo ndan
Sittng rum
Valanda

Niliwaza kuwa nanunua cement na mbao niweke ndan taratibu ili iwe rahisi zaidi

Naombeni ushauri wenu

Natanguliza shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua vitu kulingana na hatua za ujenzi. Mfano
1.msingi-nunua mchanga,cement,nondo,kokoto etc.

Ukimaliza hatua hio nunua vitu vya hatua inayofuata.
 
usinunue cement na kuiweka ndani! lipia v2 vyote vinavyo hitajika kwny hardware unayo iona inaaminika chukua risiti kaa nazo wataarifu wiki moja kabla hujaanza ujenzi ili wasikukwamishe
 
Back
Top Bottom