Naomba ushauri kuhusu huyu msichana

Oct 28, 2015
52
45
Mimi ni kijana wa Kama miaka 22 na ni mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .

Kuna msichana nimekuwa nikidate nae for about three months now.

Mwanzon kabisa hakuwa tayari hata kukutana na mimi but slowly akaanza kutaka tukutane private.

Sasa tatizo ni kwamba kila nikimuambia kuhusu being couples hatoi majib yeyote rather than smiling na kuanza kuona aibu. Imefika point nikaamua kukata mawasiliano nae ila after siku tatu anaanza kunitafuta tena

Yaan in short nishamkaushia kama mara tatu but she keeps coming back

Nifanyeje maana imekua too much
 
Mm ní kijana wa Kama miaka 22 na ní mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .kuna msichana nimekua nikidate nae for about three months now .mwanzon kbs hakuwa tayar hata kukutana na mm bt slowly akaanza kutaka tukutane private .sasa tatz ní kwamba kila nikimuambia kuhusu being couples hatoi majib yyt rather than smiling na kuanza kuona aibu. Imefika point nikaamua kukata mawasiliano nae ila after siku tatu anaanza kunitafuta tena

Yaan in short nishamkaushia kama mara tatu but she keeps coming back

Nifanyeje maana imekua too much

You are still a boy, soma
 
Ushauri wa kusoma kwanza ni sahihi kabisa. Tena umwambie huyo msichana kwamba huna muda wa ku-spend nae kwa sasa kwani masomo ni magumu mno na mitihani inakaribia. Ila hapo isije ukawa kila siku unakula starehe za mjini.
 
Pengine alikuwa hayupo tayar...usimlaumu bure kila mtu ana mambo yake ya past ujue. Kama unaona kashakutoka akilini na moyoni mwambie...
 
Kula raha boy, mnaosema asome angekuwa mdogo hiyo hapo chini ya miguu si ingesubiri nayo iwe inakua taratibu. La msingi chukua tahadhari zote na huyo bi dada nenda naye taratibu hivyo hivyo, bado mpya huyo.
 
Wala hukutuambia kuwa yeye ana umri gani lakini kwa sababu umempenda na unamjali hebu msaidie zaidi. Mwambiye kilichomfanya awe chuo sio kulalwa bali ni kupata ilimu na hayo ya ku koploka ni baada ya semister ya mwisho.
Ushauri wangu kwako ni kuwa, umeacha kwenu wanajinyima ili usome na one day uwawezeshe nao wafurahi kuwa na mtoto anaye waangalia.
Unaanza mambo ya kikubwa chuoni tena si ajabu mwaka A! Jamani someni, wazuri bado hawajazaliwa. Hivi umewahi kumwangalia dadako na mamako? Huoni uzuri wa dadako compared na mamako? Wazuri bado kabisaaa hawajazaliwa. Wakizaliwa tutakuambia. Huyo wa chuo tuachie sisi makambaku tulio zoea kulima
 
Mimi ni kijana wa Kama miaka 22 na ni mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .

Kuna msichana nimekuwa nikidate nae for about three months now.

Mwanzon kabisa hakuwa tayari hata kukutana na mimi but slowly akaanza kutaka tukutane private.

Sasa tatizo ni kwamba kila nikimuambia kuhusu being couples hatoi majib yeyote rather than smiling na kuanza kuona aibu. Imefika point nikaamua kukata mawasiliano nae ila after siku tatu anaanza kunitafuta tena

Yaan in short nishamkaushia kama mara tatu but she keeps coming back

Nifanyeje maana imekua too much
Piga kitabu bwana mdogo,acha mawazo ya ngono
 
Back
Top Bottom