Naomba ushauri kuhusu dawa ya kutokomeza N'ge

Naomba ushauri kuhusu dawa ya kutokomeza N'ge

MWAMBELA

Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
16
Reaction score
4
Habari zenu wana JF, mimi ni kijana wa kiume, kwenye nyumba nnayoishi sasa ambayo nimehamia mwezi wa nane mwaka huu mara kwa mara nimekuwa nawaona N'ge na mpaka sasa nimeshawaua wanne wakubwa na sio vitoto.

Sasa naomba ushauri hivi inawezekana wanatokea wapi na dawa ya kuwatokomeza ni ipi ili wapotee kabisa coz nyumba kwa ndani ni safi na hakuna matakataka wala mabaki ya chakula coz bado naishi peke yangu na wala sio mtu wa kupika mara kwa mara na huko niliko hama wala nilikuwa siwaoni i.e. sio kwamba nilihama nao.

Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu....
 
Nunua Rungu Spray Kisha funga milango na madirisha uwe unapuliza mara kwa mara,weka chini shuka ambazo hauzitumia kwenye uwazi mlangoni ili Kuzuia wadudu wasiingie ndani maana inaonekana upitia hapo.
 
Nunua Rungu Spray Kisha funga milango na madirisha uwe unapuliza mara kwa mara,weka chini shuka ambazo hauzitumia kwenye uwazi mlangoni ili Kuzuia wadudu wasiingie ndani maana inaonekana upitia hapo.

Asante Sana ndugu kwa ushauri, Ntafanya hivyo...
 
Nunua Rungu Spray Kisha funga milango na madirisha uwe unapuliza mara kwa mara,weka chini shuka ambazo hauzitumia kwenye uwazi mlangoni ili Kuzuia wadudu wasiingie ndani maana inaonekana upitia hapo.

Inasaidia kwa mende pia?
 
Samahan Mkuu Kama Kwl Wapo Weng Na Tunauwez Wa Kuwashika Naomba Uni Pm Kuna Mtu Ananunua Ng'e Mmja Kwa Elfu 20, Jitahd Unitafute Tafadhal
 
Hapo suala sio mazingira, suala n mazalia yake! Seems nyumba haikukaliwa na mtu mda mrefu so hao viumbe wamepata pa kujihifadh!
Ingawa unaweza tumia dawa za kuulia wadudu ila efficiency itakuwa kubwa ukielekeza kwny mazalia/makazi yao
 
Nunua Rungu Spray Kisha funga milango na madirisha uwe unapuliza mara kwa mara,weka chini shuka ambazo hauzitumia kwenye uwazi mlangoni ili Kuzuia wadudu wasiingie ndani maana inaonekana upitia hapo.

Hiyo dawa haiuwi wadudu tena labda awe anawapiga kichwani na kopo hilo la dawa ya rungu.
 
Back
Top Bottom