bilalamz zungu
Member
- Oct 25, 2016
- 9
- 1
Iko sokoni sasa, karibu kwa maoni na ushauri ,asante
Basi we umaona ipo ipi? Ukishindwa uwe kinywa mkuu usitake kufulahiha umati.Hakuna faculty ya hicho ulichosema hapo juu
Ila watu wanabeba mchanga huko wanapeleka ulaya asije akachekecha tope.Safi! Faculty nzuri sana, utachenjua dhahabu, shaba, chuma, aluminium.....nk, kipi kitakushinda ulimwengu huu? Soko lako small scale mpaka mega scale MUNGU akupe nini weye!
Faculty?????????????????????????????? Hivi kumbe siku hizi mnaenda kusoma Faculty eh?Basi we umaona ipo ipi? Ukishindwa uwe kinywa mkuu usitake kufulahiha umati.
Nina uakika huyu kijana wa mwendo kasi hawezi kukuelewa, ...........etiHakuna faculty ya hicho ulichosema hapo juu
Kabisaaa...si unaona hata uhandishi waje kama wa mtoto ambaye ndo anajifunza kuongeaNina uakika huyu kijana wa mwendo kasi hawezi kukuelewa, ...........eti
faculty ya Metallurgy and Mineral Processing Engineering?????????????? Daah hawa vijana