mamamkimbi
New Member
- Feb 5, 2015
- 4
- 1
Jamani mimi nimesoma mpaka form six, sasa nataka kusoma kozi fupi fupi ili nipatate kazi zinazo patakina fasta, nomba ushauri wadau nisome nini?
Njoo iringa tulime viazi, vitunguu, nina mashamba ya uridhi hakuna haja ya kuhangaika kusoma huko, kozi miezi 6 hiyo hela njoo nayo huku sasa ununue mbegu,
karibu sana.