Naomba ushauri juu ya mfumo huu wa Elimu

kangeme

New Member
Oct 7, 2021
4
1
Habari za majukumu ndugu zangu.

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa Pili, chuo Fulani kilichopo Dar es salaam.

Kutokana na ukoseafu wa ajira ninao ushuhudia kwa baadhi ya wahitimu.. ( marafiki zangu na Taifa kwa ujumla) nimeona na kujadili mtindo ufuatao wa Maisha ili hiki kipindi nipo chuo nitumie muda huu na rasilimali za chuo(Helbs) kujikwamua kiuchumi.

1.Kutokana na ukoseafu wa ajira nimeamua kujihusisha na biashara mbalimbali za kutoa mkoani na kuleta dar es salaam.

2.Kutokana na ukoseafu wa ajira hapo baadae nimeona Bora kupata ufaulu unaoridhisha tu wa 3.5 kwa kila mwaka., Hali hii itanifanya niwe nimejikita moja kwa moja na biashara kuliko masomo.

3.Kutumia muda mdogo Sana Kuwa chuoni. (Ntakuwa busy na Mambo Yangu.)

4.kuunda Network Mpya kabisa ya watu( wafanyabiashara wenzangu)

5.Nafanya yote haya ili kujiandaa kimazingira na kifikra katika suala Zima la kujiajiri hapo baaadae.

Ndugu zangu naombeni ushauri juu ya huo msimamo wangu!
Mana nimeanza kupambana kutafuta maisha muda mrefu na changamoto Ilikuwa mtaji na mahali kwenye mzunguko wa pesa..

Hali ilionifanya kuingia baharini kuvua samaki licha ya kuwa ni mzawa wa Tabora ambapo Hakuna hata mto.

Nimeandika haya nikiwa na akili Timamu bila msukumo wa mtu

Naomba ushauri juu ya msimamo wangu.

Ahsante Sana
 
Pole sana ndugu yangu kwa hapo ulipofikia, heri ukaacha kusikiliza maneno ya watu au magraduated au kutumia fikra zako katika swala muhimu la kielimu, Elimu ukufanya uwe na ujuzi na maarifa fulani tofauti na wengine wasioweza kufika hapo ulipofikia ambayo yatakusaidia hapo mbeleni aidha kuajiriwa au kujiajiri hii utokana na program ambayo imekupeleka chuo ni profitable kwako na kwa taifa kiujumla.

kuhusu biashara hiyo unayoifanya biashara siku zote hizi zisizo na ujuzi ama ambazo watu hukurupukia from nowhere au from motivation speaker huwa ni za msimu nadhani utakuwa unafaham mkiwa first year mnapewa darasa la ujasiliamali tena ni lile la upgrated lakini wengi wao huishia kuuza peni kalamu na ubuyu.

Binafsi naona Elimu ndio msingi wa biashara bora yenye mafanikio jitahidi kusave boom per semister then baada ya kugraduate utakuwa na pesa ya kianzio katika biashara hiyo unayoifanya tena utakuwa na faida ya ujasiliamali huku ukisubiri kuajiriwa aidha serikali ama private.

Hata maandiko yanasema uwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja lazima moja litakupokonyoka utakuja kujutia baadae ukiwa umeshapoteza wakti.
 
Pole sana ndugu yangu kwa hapo ulipofikia, heri ukaacha kusikiliza maneno ya watu au magraduated au kutumia fikra zako katika swala muhimu la kielimu, Elimu ukufanya uwe na ujuzi na maarifa fulani tofauti na wengine wasioweza kufika hapo ulipofikia ambayo yatakusaidia hapo mbeleni aidha kuajiriwa au kujiajiri hii utokana na program ambayo imekupeleka chuo ni profitable kwako na kwa taifa kiujumla.

kuhusu biashara hiyo unayoifanya biashara siku zote hizi zisizo na ujuzi ama ambazo watu hukurupukia from nowhere au from motivation speaker huwa ni za msimu nadhani utakuwa unafaham mkiwa first year mnapewa darasa la ujasiliamali tena ni lile la upgrated lakini wengi wao huishia kuuza peni kalamu na ubuyu.

Binafsi naona Elimu ndio msingi wa biashara bora yenye mafanikio jitahidi kusave boom per semister then baada ya kugraduate utakuwa na pesa ya kianzio katika biashara hiyo unayoifanya tena utakuwa na faida ya ujasiliamali huku ukisubiri kuajiriwa aidha serikali ama private.

Hata maandiko yanasema uwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja lazima moja litakupokonyoka utakuja kujutia baadae ukiwa umeshapoteza wakti.
Nashukuru sana kiongozi! Ntafanyia kazi ujumbe wako! Ahsante mno
 
Pole sana ndugu yangu kwa hapo ulipofikia, heri ukaacha kusikiliza maneno ya watu au magraduated au kutumia fikra zako katika swala muhimu la kielimu, Elimu ukufanya uwe na ujuzi na maarifa fulani tofauti na wengine wasioweza kufika hapo ulipofikia ambayo yatakusaidia hapo mbeleni aidha kuajiriwa au kujiajiri hii utokana na program ambayo imekupeleka chuo ni profitable kwako na kwa taifa kiujumla.

kuhusu biashara hiyo unayoifanya biashara siku zote hizi zisizo na ujuzi ama ambazo watu hukurupukia from nowhere au from motivation speaker huwa ni za msimu nadhani utakuwa unafaham mkiwa first year mnapewa darasa la ujasiliamali tena ni lile la upgrated lakini wengi wao huishia kuuza peni kalamu na ubuyu.

Binafsi naona Elimu ndio msingi wa biashara bora yenye mafanikio jitahidi kusave boom per semister then baada ya kugraduate utakuwa na pesa ya kianzio katika biashara hiyo unayoifanya tena utakuwa na faida ya ujasiliamali huku ukisubiri kuajiriwa aidha serikali ama private.

Hata maandiko yanasema uwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja lazima moja litakupokonyoka utakuja kujutia baadae ukiwa umeshapoteza wakti.
Kanuni ya kusoma na kufauru darasani ni rahisi na inaeleweka, ila kanuni ya kufanikiwa kiuchumi ni siri nzito.
 
Mimi Naona kijana Yupo sahihi!
Mfumo wa Elimu wa Sasa na zamani ni vitu viwili Tofauti!
Fanya hivi elimika..
Fanya biashara pata experience
Utakapokuwa ni tofauti na wale walioamini katika kuajiriwa, kwani watakuta huku mtaani hapaelewe.

Endelea kukomaaa
 
Back
Top Bottom