MTOTO KITAA
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 245
- 115
Wadau heshima kwenu!
Huyu mpenzi wangu wamezaliwa mapacha watatu, wawil wameolewa na mmoja ndio ninae mie, sijamuowa bado, lakini wakati ameshakuwa mpenzi wangu,nikaja kugundua baada ya miezi minne, kuwa alimkataa mpenzi wake wa zamani ambaye alishatoa mahali, sababu kuu alisema jamaa hawezi kabisa kumfikisha kimapenzi, nikafanya utafiti ya kwanini alimkataa?
Nikajikaza nikamtafuta yule mpenzi wake, maana wote wanaume, jamaa akafunguka na na kusema mwanamke jeuri na anapenda pesa, so niwe mwangalifu yasije nikuta, nikamfata shemeji yake ambay ameoa pacha mwezake, jamb akaniambia huyu mwanamke anapenda sana watu wenye pesa na pia ni malaya.tatizo sas, mie sina pesa!
Huyu mwanamke tangu niishi naye ni mwezi wa nne sasa.Asubuhi huwa nampa hela ya vitafunwa, mchana anakula chakula cha kawaida tu,na sio mjeuri ina anaheshima sana, mcheshi sana, na anasisitiza nimuoe.
Naombeni ushauri ndugu zangu, je nifumbe macho nimuowe? Au wasemavyo walimwengu yatanitokea? Au nibadili gea angani? Au nipaishe tu ndege?
Asanteni na karibuni
Huyu mpenzi wangu wamezaliwa mapacha watatu, wawil wameolewa na mmoja ndio ninae mie, sijamuowa bado, lakini wakati ameshakuwa mpenzi wangu,nikaja kugundua baada ya miezi minne, kuwa alimkataa mpenzi wake wa zamani ambaye alishatoa mahali, sababu kuu alisema jamaa hawezi kabisa kumfikisha kimapenzi, nikafanya utafiti ya kwanini alimkataa?
Nikajikaza nikamtafuta yule mpenzi wake, maana wote wanaume, jamaa akafunguka na na kusema mwanamke jeuri na anapenda pesa, so niwe mwangalifu yasije nikuta, nikamfata shemeji yake ambay ameoa pacha mwezake, jamb akaniambia huyu mwanamke anapenda sana watu wenye pesa na pia ni malaya.tatizo sas, mie sina pesa!
Huyu mwanamke tangu niishi naye ni mwezi wa nne sasa.Asubuhi huwa nampa hela ya vitafunwa, mchana anakula chakula cha kawaida tu,na sio mjeuri ina anaheshima sana, mcheshi sana, na anasisitiza nimuoe.
Naombeni ushauri ndugu zangu, je nifumbe macho nimuowe? Au wasemavyo walimwengu yatanitokea? Au nibadili gea angani? Au nipaishe tu ndege?
Asanteni na karibuni