kwanza unadai kwenu hajatoa chochote wewe si umejipeleka mwenyewe bure? uliitwa ? acha uipate fresh wewe kutongozwa siku mbili tatu unahamia? tena unasema unaishi nae kama mumeo ,ndo maana anakununia
mimi hata nigonge 50 siamii kwa mtu kihuni asilani ,acha iwe mbaya
kwa nini nikose mbingu kisa dushe?
atakula hata bange na kinyesi hapo?
tulizana mtoto wa kike