Ni takribani wiki sasa inapita napatwa na dalili hizi 1: muwasho sehem za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka natoka michubuko
2:muwasho matakoni karibia na msingi najikuna sana mpaka matako yamechubuka
3:muwasho baadhi ya sehem za mwili sehem hizi nikijikuna nasikia raha pia ila zinatengeneza wekundu kama damu kuivilia au nimetembelewa na mdudu
Historia kimatibabu
Nimepima magonjwa ya zinaa,HIV vyote sina nikatumia dawa BBE ya kupaka ya ukurutu ilipungua kiasi ila muwasho uliobaki ndo kama huo nilioeleza hapo juu naombeni msaada wenu wana jamvi madaktari najikuna mpako uume unachumbuka
Nawasilisha kutoka kwa mdau