Naomba Updates za usalili JWTZ

Naomba Updates za usalili JWTZ

NMDA antagonist

Senior Member
Joined
Mar 25, 2018
Posts
149
Reaction score
106
Habar za humu wakuu,

Naomba kujuzwa kuhusu nafasi za jeshi kwa kada ya afya baada ya interview. je kuna watu wowote walio itwa kwa ajiuli ya kuanza mafunzo au laa? Maana zimeshapita wiki takribani wiki 3 tangu tupeleke vyeti vyetu.

Ahsante wakuu.
 
Bajeti yenyewe ya kuajiri ipo? Uchaguzi kila leo
 
Omba updates kwa wenzio mlio fanya nao usaili.
 
Habar za humu wakuu naomba kujuzwa kuhusu nafasi za jeshi kwa kada ya afya baada ya interview. je kuna watu wowote walio itwa kwa ajiuli ya kuanza mafunzo au laa..? maana zimeshapita wiki takribani wiki 3 tangu tupeleke vyeti vyetu.
ahsante wakuu
Baba vp uliitwa
 
Back
Top Bottom