Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
katika bomoaboma za makazi na kuondolewa wafanyabiashara wadogowadogo (machinga) kwa nn mafundi viatu (shoe shine) huwa hawaguswi. Ni kweli ni state agency.
katika bomoaboma za makazi na kuondolewa wafanyabiashara wadogowadogo (machinga) kwa nn mafundi viatu (shoe shine) huwa hawaguswi. Ni kweli ni state agency.