Easymutant R I P Jun 3, 2010 2,564 1,129 Nov 2, 2011 #1 [h=6]NAOMBA MNISAIDIE WATU WANGU JE ;TANZANIA KUNA VIONGOZ WANGAP WALIO NA AKILI TIMAMU[/h] Nimefanya kucopy na kupaste tu.....
[h=6]NAOMBA MNISAIDIE WATU WANGU JE ;TANZANIA KUNA VIONGOZ WANGAP WALIO NA AKILI TIMAMU[/h] Nimefanya kucopy na kupaste tu.....
Azimio Jipya JF-Expert Member Nov 27, 2007 3,362 1,131 Nov 2, 2011 #2 ... Despite the old saying, 'Don't take your troubles to bed', many men still sleep with their wives!! ... Baada ya kusema hayo tusubiri Wenye Fikra KUBWA zaidi waje watoe mitizamo mikubwa!!
... Despite the old saying, 'Don't take your troubles to bed', many men still sleep with their wives!! ... Baada ya kusema hayo tusubiri Wenye Fikra KUBWA zaidi waje watoe mitizamo mikubwa!!
D dotto JF-Expert Member Sep 29, 2010 1,725 255 Nov 2, 2011 #3 Mmh mhm da! wachache lakini hawapewi nafasi hiyo katika maamuzi!
A ARKADI MAKONA Member Jun 25, 2011 14 2 Nov 2, 2011 #4 Is it possible tukatumia demokrasia yetu kuchagua viongozi wasio na akili timamu?? Kama ndivyo basi sote hatuna akili timamu
Is it possible tukatumia demokrasia yetu kuchagua viongozi wasio na akili timamu?? Kama ndivyo basi sote hatuna akili timamu
M Mat.E Member Dec 28, 2010 66 13 Nov 2, 2011 #5 wote wanazo akili timamu, isipokuwa wanajua wafanyayo.NI MIRADI YAO!
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,650 Nov 3, 2011 #6 wenye akili timamu wako kwenye utendaji, kisiasa, mhhhhh hakuna mkuu kuanzia jemedari wao mpaka chini na vizazi vyao vyote
wenye akili timamu wako kwenye utendaji, kisiasa, mhhhhh hakuna mkuu kuanzia jemedari wao mpaka chini na vizazi vyao vyote