Kwa kweli hali kama hii ndio perfect kweny kutest uhusiano....kwa sababu kwa vyovyote itakavyokua matokeo ya mwisho ndo husema uhusiano ulikuwaje.
i) Kama mwishoni bado uhusiano upo then u've got urself a gud girl there.
ii) Kama mwishoni utaachwa then ndivyo uhusiano ulivyokuwa shalow...so why bother?
Cha msingi hapo we usicomplicate mambo yaache yaflow naturaly then you'll know.
Yani usiombee kuwa na hela halafu hujui kama unachopendewa ni nn kati ya utu wako au pesa zako...Its realy a devarstation to know kwamba she never cared for you but your money na kisha alikuwa anachukua your money kwenda kuhongea wanaume wengine.
Hivi ikitokea ulikua na mpenzi wako{wakike} tangu chuo,baada ya kumaliza masomo,mdada anatangulia kupata job kabla yako,then wewe mkaka unakaa kitaa hata 3yrs bila kazi,hivi huyo mwanamke hatakuacha au kukudharau kweli?
Unajua nini PetCash kuna hali fulani ambayo mabinti wanaipitia au kwa kutumia mifano mingine inawawia ngumu. Swali kubwa huwa ni 'what if namsubiri na kutolea nje offer zingine halafu mwenzangu aje kuoa mwingine?'.
Hii huwapata wengi japo wanakuwa na mapenzi na watu wao lkn kwa hofu ya kulizwa huishia kuolewa na any available man hata kama hajampenda kama aliyemuacha. A bird in hand is worth ten in bush!
Ktk situation kama hiyo, engagement pekee kwa maisha ya kimjini mjini haitoshi kumfunga mtu; kama wanapendana wafunge ndoa ya serikalini na baadaye mambo yakiwa mazuri ndipo mahari na ndoa ya kidini ije kufungwa. Otherwise ni kama ulivyomshauri; ila inauma sana watu wanapendana lkn mazingira yanawabania.
Unajua nini PetCash kuna hali fulani ambayo mabinti wanaipitia au kwa kutumia mifano mingine inawawia ngumu. Swali kubwa huwa ni 'what if namsubiri na kutolea nje offer zingine halafu mwenzangu aje kuoa mwingine?'.
Hii huwapata wengi japo wanakuwa na mapenzi na watu wao lkn kwa hofu ya kulizwa huishia kuolewa na any available man hata kama hajampenda kama aliyemuacha. A bird in hand is worth ten in bush!
Ktk situation kama hiyo, engagement pekee kwa maisha ya kimjini mjini haitoshi kumfunga mtu; kama wanapendana wafunge ndoa ya serikalini na baadaye mambo yakiwa mazuri ndipo mahari na ndoa ya kidini ije kufungwa. Otherwise ni kama ulivyomshauri; ila inauma sana watu wanapendana lkn mazingira yanawabania.
Kwa kweli hali kama hii ndio perfect kweny kutest uhusiano....kwa sababu kwa vyovyote itakavyokua matokeo ya mwisho ndo husema uhusiano ulikuwaje.
i) Kama mwishoni bado uhusiano upo then u've got urself a gud girl there.
ii) Kama mwishoni utaachwa then ndivyo uhusiano ulivyokuwa shalow...so why bother?
Cha msingi hapo we usicomplicate mambo yaache yaflow naturaly then you'll know.
Yani usiombee kuwa na hela halafu hujui kama unachopendewa ni nn kati ya utu wako au pesa zako...Its realy a devarstation to know kwamba she never cared for you but your money na kisha alikuwa anachukua your money kwenda kuhongea wanaume wengine.
Hapa ndipo mtu anapoweza kuathirika kisaikolojia na tatizo hili linaweza kumganda kwa miaka mingi sana kichwani kwake, ndio maana kuna msemo wa Life in not fair at all.Ktk situation kama hiyo, engagement pekee kwa maisha ya kimjini mjini haitoshi kumfunga mtu; kama wanapendana wafunge ndoa ya serikalini na baadaye mambo yakiwa mazuri ndipo mahari na ndoa ya kidini ije kufungwa. Otherwise ni kama ulivyomshauri; ila inauma sana watu wanapendana lkn mazingira yanawabania.
Hapa ndipo mtu anapoweza kuathirika kisaikolojia na tatizo hili linaweza kumganda kwa miaka mingi sana kichwani kwake, ndio maana kuna msemo wa Life in not fair at all.