mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 642
- 594
Kitendawili Kiki kimenishinda
Wewe totoo kuwa serious basi!!!!Fire
Saa hii ilitakiwa iwe kwenye tank la maviWewe totoo kuwa serious basi!!!!
Kutoka kwenye 'fire' mpaka 'mavi' naona ni hatua kubwaSaa hii ilitakiwa iwe kwenye tank la mavi
HahahahahahKutoka kwenye 'fire' mpaka 'mavi' naona ni hatua kubwa
Basi nimesha rate nafasi yako, LIMTOKALO MTU MDOMONI NDIO AWAZALO!!! Mada ya simu kichwa chako kinawaza mavi du!!!Saa hii ilitakiwa iwe kwenye tank la mavi
Ndio niliishika baada ya kutoka bafuni nikiwa na maji mwilini upo sahihi, nimeichaji imechaji vizuri Tu,Uliiweka simu yako kwenye maji au sehemu yenye uneyunyevu ?
Kuna uwezekano ni warning kuwa charging port ina moisture , ukicharge inafanya kazi ?
Ukiangalia kwenye list ya notification hakuna message yoyote inayoendana na hiyo icon ?