Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Jana niliomba gari kwa jamaa angu kuna mishe nilikua nafuatilia nje kidogo ya mji sasa toka mjini hadi ukute kibao cha kuruhusu kutembea zaidi ya 50 ni kama 20+km na kote nilitembea kama sheria za barabaran zinavyotaka. Sasa nilivyokikuta kibao cha kuruhusu kama 2km mbele nikakutana na trafik wakanipiga mkono wakaniambia nimezidisha speed sehem ambayo sio wakanionyesha na picha sasa nikajaribu kumuuliza ni wapi hapo nimezidisha speed wananiambia hilo eneo ambalo ni kama 10km nyuma ndo nilipigwa torch nikabishana nao kwa kufupisha nikamalizana nao.
SWALI: Kwa nin unapokutwa na kosa usisimamishwe mbele kidogo ili iwe rahisi kutambua kosa lako maana nina uhakika 100% wanakupiga torch hapo panaporuhusu then wanakuambia sehemu waliyokupiga torch ni kama 10km nyuma ili uepukane na usumbufu wao na wao waijazie serikali fedha maana ingekua wanaonyesha video inakua rahis kutambua hilo.kosa ni muda gani na wapi lilipo hilo eneo tofauti wanavyopiga picha gari tu
SWALI: Kwa nin unapokutwa na kosa usisimamishwe mbele kidogo ili iwe rahisi kutambua kosa lako maana nina uhakika 100% wanakupiga torch hapo panaporuhusu then wanakuambia sehemu waliyokupiga torch ni kama 10km nyuma ili uepukane na usumbufu wao na wao waijazie serikali fedha maana ingekua wanaonyesha video inakua rahis kutambua hilo.kosa ni muda gani na wapi lilipo hilo eneo tofauti wanavyopiga picha gari tu