Naomba kwa mwenye taarifa juu ya operation za cochlear implant surgery kwa Tanzania na gharama yake na hospitals zinazotoa huduma hii pia anijulishe kwa upana zaidi.
Habarini Wana jukwaa. Naomba kwa mwenye taarifa juu ya operation za cochlear implant surgery kwa Tanzania na gharama yake na hospitals zinazotoa huduma hii pia anijulishe kwa upana zaidi.
Mkuu pole,Mimi in mhanga pia wa tatizo hilo na nimezunguka hospital nyingi tangu nikiwa na miaka 20 nikiwa form four mpaka Leo Nina miaka 35 ila cjafanikiwa kutatua changamoto na kwasasa nimechukulia kama hali ya kwaida tu