Naomba Serikali iweze kutuondolea tozo ya Paye

Naomba Serikali iweze kutuondolea tozo ya Paye

Cathode Rays

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
1,738
Reaction score
1,495
Kwa kiroho safi kabisa, ama kwa hakika sikukutilia shaka lakini sikuona namna gani utalimudu genge la majambazi ya mali za Umma yaliyokuwa yakihifadhiwa na chama chako cha CCM

Kwa speed uliyoikamata sasa sina mashaka tena, Majambazi haya yalinifanya nikiangalia yale malaki mengi ninayolipa kwenye mshahara wangu kama kodi ya pato (PAYE) pamoja na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) nikiwa naumia sana

Najua uliahidi kupunguza PAYE kwa sisi wafanyakazi....ila kwa sababu liko tumaini la kodi yangu kutumika vizuri, hata ukiamua kutokupunguza PAYE sawa tu.

Tatizo sio wananchi hatupendi kulipa kodi, tatizo tukishailipa ilikuwa inaenda kunufaisha matumbo ya wachache wenye nacho zaidi na pia wasiolipa kodi. Nimekuelewa na hongera....piga kazi baba, piga kazi mwana wa Afrika, Mwana wa Tanzania

Piga kazi Mwamba tuko nyuma yako wananchi wabangaizaji hata kama majambazi hayako upande wako
 
Anaweza akasubiri mpaka mwezi wa 7 ndo akaongeza mshahara na kupunguza paye.
 
Anaweza akasubiri mpaka mwezi wa 7 ndo akaongeza mshahara na kupunguza paye.

Kiongozi mie hata asipopunguza kiroho safi kabisa

Maana najua itawafikia ndgu zangu kijijini na mijini kwa huduma bora

Awali sikuona hata umuhimu kifuatilia risiti maana nilijua itaenda kuliwa na wezi....bora mangi tu ale

Ila kwa sasa ole wa Muuza duka au mtoa huduma asinipe risiti halali ya TRA atanitambua
 
Mh JPM alituahidi kwenye kampeni, tunasubiri utekelezaji wake....
 
Tutarajie raisi JPM atende haki na uadilifu ktk kujenga TAIFA jipya !!
tuna imani na Kiongozi imara !! GOD BLESS you JPM.
 
Kiongozi mie hata asipopunguza kiroho safi kabisa

Maana najua itawafikia ndgu zangu kijijini na mijini kwa huduma bora

Awali sikuona hata umuhimu kifuatilia risiti maana nilijua itaenda kuliwa na wezi....bora mangi tu ale

Ila kwa sasa ole wa Muuza duka au mtoa huduma asinipe risiti halali ya TRA atanitambua

acha kuongea kama kasuku PAYE tunataka ishuke kama alivyoahid kwan tuna mahitaj mengi tu ya msingi as much as anafanya vzr so far ofcourse ila tunataka apunguze hii kitu twende sawa!!
 
acha kuongea kama kasuku PAYE tunataka ishuke kama alivyoahid kwan tuna mahitaj mengi tu ya msingi as much as anafanya vzr so far ofcourse ila tunataka apunguze hii kitu twende sawa!!

Huna adabu...
Mimi si Kasuku na siongei nisichoelewa....and you are just one of those fools who think they know but they are just empty headed

Learn to understand first before jumping into a bandwagon.....maggot
 
Punguza haraka kodi lakini pia ongeza mishahara huku mtaani tunasubiri utelelelezaji ahadi ni deni
 
Kwa kiroho safi kabisa

Ama kwa hakika sikukutilia shaka lakini sikuona namna gani utalimudu genge la majambazi ya mali za Umma yaliyokuwa yakihifadhiwa na chama chako cha CCM

Kwa speed uliyoikamata sasa sina mashaka tena

Majambazi haya yalinifanya nikiangalia yale malaki meeengii ninayolipa kwenye mshahara wangu kama kodi ya pato (PAYE) pamoja na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) nikiwa naumia sana

Najua uliahidi kupunguza PAYE kwa sisi wafanyakazi....ila kwa sababu liko tumaini la kodi yangu kutumika vizuri, hata ukiamua kutokupunguza PAYE sawa tuuu

Tatizo sio wananchi hatupendi kulipa kodi, tatizo tukishailipa ilikuwa inaenda kunufaisha matumbo ya wachache wenye nacho zaidi na pia wasiolipa kodi....

Nimekuelewa na hongera....piga kazi baba, piga kazi mwana wa Afrika, Mwana wa Tanzania

Piga kazi Mwamba tuko nyuma yako wananchi wabangaizaji hata kama majambazi hayako upande wako

Mkuu naungana nawe isipokua hapo kwenye PAYE... kwa kweli inabidi apunguze japo ibaki asilimia 5 ndio tuchangie pato la serikali.
 
Huna adabu...
Mimi si Kasuku na siongei nisichoelewa....and you are just one of those fools who think they know but they are just empty headed

Learn to understand first before jumping into a bandwagon.....maggot
Mkuu achana na wazungusha mikono kichwani hawana jipya - kuzungusha mikono kichwani kule kwetu ni ishara ya kutokua na akili timamu na ndivyo walivyo hao jamaa
 
Mkuu naungana nawe isipokua hapo kwenye PAYE... kwa kweli inabidi apunguze japo ibaki asilimia 5 ndio tuchangie pato la serikali.

Ndugu Dogo1 nakukubalia kwa kuwa ni ahadi yake....tuko pamoja mia-mia...

Hoja yangu zaidi ni kuwa kwa sasa nikiiangalia Salary Slip yangu sitakuwa na maumivu makubwa moyoni...

Ilikuwa inaniuma sio kwa sababu ya ukubwa wake, ila kwa sababu ilikuwa inaenda kuneemesha matumbo ya watu tena wenye mishahara mikubwa ma madili haramu kibao na yasiyolipa kodi badala ya kuhudumia masikini.....

Leo ikitokea kodi zinakusanywa na kutumika vizuri na kuziba mianya na watoto masikini wanaenda shule na huduma nyinyine muhimu zinapatikana kwa ubora, siwezi kuumia kama ilivyokuwa awali.....

Magu endelea kukwangua vipele.....nasubiri ukianza kutumbua Majipu
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Dogo1 nakukubalia kwa kuwa ni ahadi yake....tuko pamoja mia-mia...

Hoja yangu zaidi ni kuwa kwa sasa nikiiangalia Salary Slip yangu sitakuwa na maumivu makubwa moyoni...

Ilikuwa inaniuma sio kwa sababu ya ukubwa wake, ila kwa sababu ilikuwa inaenda kuneemesha matumbo ya watu tena wenye mishahara mikubwa ma madili haramu kibao na yasiyolipa kodi badala ya kuhudumia masikini.....

Leo ikitokea kodi zinakusanywa na kutumika vizuri na kuziba mianya na watoto masikini wanaenda shule na huduma nyinyine muhimu zinapatikana kwa ubora, siwezi kuumia kama ilivyokuwa awali.....

Magu endelea kukwangua vipele.....nasubiri ukianza kutumbua Majipu

Pamoja mkuu 100/100
 
Last edited by a moderator:
Kwa kiroho safi kabisa

Ama kwa hakika sikukutilia shaka lakini sikuona namna gani utalimudu genge la majambazi ya mali za Umma yaliyokuwa yakihifadhiwa na chama chako cha CCM

Kwa speed uliyoikamata sasa sina mashaka tena

Majambazi haya yalinifanya nikiangalia yale malaki meeengii ninayolipa kwenye mshahara wangu kama kodi ya pato (PAYE) pamoja na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) nikiwa naumia sana

Najua uliahidi kupunguza PAYE kwa sisi wafanyakazi....ila kwa sababu liko tumaini la kodi yangu kutumika vizuri, hata ukiamua kutokupunguza PAYE sawa tuuu

Tatizo sio wananchi hatupendi kulipa kodi, tatizo tukishailipa ilikuwa inaenda kunufaisha matumbo ya wachache wenye nacho zaidi na pia wasiolipa kodi....

Nimekuelewa na hongera....piga kazi baba, piga kazi mwana wa Afrika, Mwana wa Tanzania

Piga kazi Mwamba tuko nyuma yako wananchi wabangaizaji hata kama majambazi hayako upande wako



We k ---uma ndiyo maana inaonekana kabisa biashara yako ya uchangu haina PAYE mdiyo maana
 
Back
Top Bottom