Ngoja mimi nikusaidie kidogo.
Mwaka wa kuzaliwa siujui ila namjua tangu mwaka 2004.
Degree: BA Education, st Augustine University 2010.
Secondary: Newman Sec School ila centre yake ya mtihani ni Kigoma Sec mwaka 2006 (adv level).
College: Kasulu teaching college na kabla ya kuwa mbunge alikuwa Mwalimu wa Kigoma Pr Schoo.