Naomba Notes Za Advance

Naomba Notes Za Advance

Edc Tz

Member
Joined
Apr 20, 2018
Posts
60
Reaction score
38
Members kwa mwenye notes za advance form five na form six za Geography, Biology na Chemistry. Naomba
 
Dah! Nilikuwa na notes za Geog1 na Geog 2, usingejutia.
Ila niko mbali sana na nyumbani.
 
Download thl app utazipata zote huko
Thl upande wa pure science kwa advanced level wamepuyanga kinoma. Notsi zao hazipo mzuka kivile yan hasa kwa phyzcx, chemistry, bios na pure maths. Mkuu chemistry tafuta Vitini vya NGAIZA. Physics nunua S.Chands class xi na xii. Bios ni BS. Usisahau kutafuta past papers hasa za kuanzia 2014 hadi 2018. Piga topic piga na necta type qns
 
Thl upande wa pure science kwa advanced level wamepuyanga kinoma. Notsi zao hazipo mzuka kivile yan hasa kwa phyzcx, chemistry, bios na pure maths. Mkuu chemistry tafuta Vitini vya NGAIZA. Physics nunua S.Chands class xi na xii. Bios ni BS. Usisahau kutafuta past papers hasa za kuanzia 2014 hadi 2018. Piga topic piga na necta type qns

Hizi shule zifunguliwe mrudi shule mtuachie Jf yetu... Ndo umeandika nini hapo sass, ina maans umekosa kiswahili kizuri cha kutumia mpaka utuandikie lugha ya watoto wenzio
 
Hizi shule zifunguliwe mrudi shule mtuachie Jf yetu... Ndo umeandika nini hapo sass, ina maans umekosa kiswahili kizuri cha kutumia mpaka utuandikie lugha ya watoto wenzio
Kiongozi nakuheshimu sana ujue na naheshim mawazo yako. Nn utoto wangu hapo. Kama wew hupendezw na maon yangu naomba uyapinge kwa HOJA na SIO VIOJA
 
Back
Top Bottom