Mume na mke
wake wakijiandaa kwenda
harusini walikuwa na
mazungumzo kama
ifuatavyo.
MKE: "Mbona hujaandaa zawadi ya
maana kwa maharusi
wetu." MUME:
Nimeona
nibebe kifurushi hiki
chenye pamba, bandeji
pamoja na dawa joto." MKE: "Kulikoni mume wangu,
kwani kuna mgonjwa?"
MUME: "Hujui bwana harusi
ni Mkuria, lolote linaweza
kutokea wakiwa kwene
fungate." kwa herini.