NaOmBa nIwAaGe nA Hii:

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Mume na mke
wake wakijiandaa kwenda
harusini walikuwa na
mazungumzo kama
ifuatavyo.
MKE: "Mbona hujaandaa zawadi ya
maana kwa maharusi
wetu." MUME:
Nimeona
nibebe kifurushi hiki
chenye pamba, bandeji
pamoja na dawa joto." MKE: "Kulikoni mume wangu,
kwani kuna mgonjwa?"
MUME: "Hujui bwana harusi
ni Mkuria, lolote linaweza
kutokea wakiwa kwene
fungate." kwa herini.
 
Mimi simo.....Ngoja wakusikie hawa wakina muraa....Patachimbika!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…