permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,333
- 15,047
Mwanzoni alisema wakijiunga huko atachukua hatua, kwa sasa anatishia NATO wakiweka silaha huko atachukua hatua.Finland kama nchi ni lazima ijitie kufanya mazoezi ili isionekane nyonge maana mwenzake anachezea kichapo ktk Karne hii haijawahi kutokea, mazoezi ya kijeshi ni kawaida kwa taifa, but haitozuia Uamuzi wwte wa Russia, kumbuka Finland haijajiunga na NATO na hapohapo Russia kasema ikijiunga atachukua hatua, hatujui hatua gani ila nahisi akijiunga na NATO amani alionayo sasa na miaka ya nyuma 98% itaondoka nchini mwao