Naomba nijibiwe na waelewa tu

Naomba nijibiwe na waelewa tu

Cheology

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
384
Reaction score
606
Vita ya urusi na ukrane Finland ametunisha msuli hii imekaaje.

Hivi majuzi baada ya piga ua kule Ukraine, NATO imejidhatiti na kutoa misaada ya silaha na pesa Kwa ukrane. Hata hivyo bado Ukraine anaendelea kupata kipigo....

Binafsi sishabikii maana mauaji si ya kuchekelea. Sweden na finland wamejitambulisha kutaka kujiunga na NATO. Finland hajaishia hapo. Ameanza na mazoez hii Kwa Russia ni uchokozi wa kile ambacho alijaribu kufanya ukrane na ameshachezea kipigo. Je huu wa finland kuaza mazoez sio uchokozi?,inamaana Finland ameamua kujitoa mhanga??

Tukumbuke Russia anaweza akatuma Nuclear bomb 💣

Mbona sweden amekaa kimya??

Finland analingia nini??

Nawasilisha.
 

nilimaanisha Naomba nijibiwe na waelewa tuu​

 
.... nuclear! nuclear! nuclear! Kwa hiyo lengo la Urusi kumiliki nuclear ni kutaka kuzionea nchi nyingine zisiwe na sauti! Inaposemwa Urusi ni madikteta kamili wanaotamani kuitawala dunia inasemwa kwa makosa? Kwenye hii vita Urusi amejianika malengo yake halisi na hataachwa salama.
 
.... nuclear! nuclear! nuclear! Kwa hiyo lengo la Urusi kumiliki nuclear ni kutaka kuzionea nchi nyingine zisiwe na sauti! Inaposemwa Urusi ni madikteta kamili wanaotamani kuitawala dunia inasemwa kwa makosa? Kwenye hii vita Urusi amejianika malengo yake halisi na hataachwa salama.
Swali langi ndio Hilo USA hahofii kupigwa nuclear pale newyock?
Uingereza pale London? Ufaranza pale Paris au kwenye mashindano ya Mpira ikahonhwa kitu Jaman acheni haya mambo...

Urusi sio mkorofi kama west
 
Hakuna kinachotokea kwa bahat mbaya. Back in 2014, UK alikuwa anatoa mafunzo ya silaha za anti tank kama javeline, stingers n.k kwa Ukraine.

Leo ni 2022, miaka 8 tukashuhudia mambo yanatokea. Kifupi niseme kuwa US ilishajipanga kuja kupambana na Russia ktk ardhi ya ugenini. Yale mabajeti ya US mazito mazito ktk Ulinzi ni kwa ajili ya kazi za kidhalimu kama hizi.

Asikwambie mtu, dhumuni la US ktk vita hii lazima litimie. Wengi tunaona kama vile Russia akishinda vita basi US ameshindwa, tunasema hivi sababu hatujui CIA imekusudia nini kwa Russia.

Yamkini wanahitaji kujua ubora wa jeshi la anga na ardhini la Russia, pengine kutambua mifumo yake ya ulinzi ina ubora kiasi gani, Russia ana silaha gani kwa sasa za kisasa, tukumbuke tayar Russia ametumia hypersonic missiles, laser weapons n.k

Kwahiyo Russia kuchukua Ukraine inawezekana ila haimaanishi kuwa azma ya US imefeli, hapana, kuna kitu jamaa wamekirenga n sisi ni vigumu kukitambua.

US ndo taifa pekee linalojua miaka 30 mbele wao watakuwa wapi. Jamaa wanajiamini mno ktk mipango yao.
 
Mbona Marekani yeye sijawasikia anajitamba mara nami nitapiga nuclei sehemu fulani,
Lakini Finland wanadai walianza kujiandaa mapema kwa kujenga makazi ya chini ya Ardhi pia,
Ingawaji si rahisi asimame vita na Russia

Russia huenda akifanikiwa kuitawala dunian ataitawala kwa mabavu, lakini hatafanikiwa.
Marekani mambo yao mengi ya kijeshi wanaficha na hawana maonyesho ya siraha kabisa.
 
Hakuna kinachotokea kwa bahat mbaya. Back in 2014, UK alikuwa anatoa mafunzo ya silaha za anti tank kama javeline, stingers n.k kwa Ukraine.

Leo ni 2022, miaka 8 tukashuhudia mambo yanatokea. Kifupi niseme kuwa US ilishajipanga kuja kupambana na Russia ktk ardhi ya ugenini. Yale mabajeti ya US mazito mazito ktk Ulinzi ni kwa ajili ya kazi za kidhalimu kama hizi.

Asikwambie mtu, dhumuni la US ktk vita hii lazima litimie. Wengi tunaona kama vile Russia akishinda vita basi US ameshindwa, tunasema hivi sababu hatujui CIA imekusudia nini kwa Russia.

Yamkini wanahitaji kujua ubora wa jeshi la anga na ardhini la Russia, pengine kutambua mifumo yake ya ulinzi ina ubora kiasi gani, Russia ana silaha gani kwa sasa za kisasa, tukumbuke tayar Russia ametumia hypersonic missiles, laser weapons n.k

Kwahiyo Russia kuchukua Ukraine inawezekana ila haimaanishi kuwa azma ya US imefeli, hapana, kuna kitu jamaa wamekirenga n sisi ni vigumu kukitambua.

US ndo taifa pekee linalojua miaka 30 mbele wao watakuwa wapi. Jamaa wanajiamini mno ktk mipango yao.
Halafu mi nahisi kama Marekani wana play trick maana jamaa wanajidai kama wana lia lia.
Russia wawe makini maana hapa kuna taifa litapigwa tukio vitukuu vyetu vitasoma history huko mbeleni.
Mashetani sio watu wana plan mpaka vitu vya mbele Russia awe makini sana,
Binafsi nimeshindwa kuelewa hawa maadui wa Russia wanapanga nini.
 
Ni kweli usemacho maana wanampeleka peleka puta tu huyu rais wa ukraine.
Halafu mi nahisi kama Marekani wana play trick maana jamaa wanajidai kama wana lia lia.
Russia wawe makini maana hapa kuna taifa litapigwa tukio vitukuu vyetu vitasoma history huko mbeleni.
Mashetani sio watu wana plan mpaka vitu vya mbele Russia awe makini sana,
Binafsi nimeshindwa kuelewa hawa maadui wa Russia wanapanga nini.
 
Trick zao zote kwa mrusi wa sasa zimeshindwa na yeye usikute tunafahamu hypersonic sasa huena ana madude zaidi yanamsubiri Mmarekani nje ya nuclear
 
Hakuna kinachotokea kwa bahat mbaya. Back in 2014, UK alikuwa anatoa mafunzo ya silaha za anti tank kama javeline, stingers n.k kwa Ukraine.

Leo ni 2022, miaka 8 tukashuhudia mambo yanatokea. Kifupi niseme kuwa US ilishajipanga kuja kupambana na Russia ktk ardhi ya ugenini. Yale mabajeti ya US mazito mazito ktk Ulinzi ni kwa ajili ya kazi za kidhalimu kama hizi.

Asikwambie mtu, dhumuni la US ktk vita hii lazima litimie. Wengi tunaona kama vile Russia akishinda vita basi US ameshindwa, tunasema hivi sababu hatujui CIA imekusudia nini kwa Russia.

Yamkini wanahitaji kujua ubora wa jeshi la anga na ardhini la Russia, pengine kutambua mifumo yake ya ulinzi ina ubora kiasi gani, Russia ana silaha gani kwa sasa za kisasa, tukumbuke tayar Russia ametumia hypersonic missiles, laser weapons n.k

Kwahiyo Russia kuchukua Ukraine inawezekana ila haimaanishi kuwa azma ya US imefeli, hapana, kuna kitu jamaa wamekirenga n sisi ni vigumu kukitambua.

US ndo taifa pekee linalojua miaka 30 mbele wao watakuwa wapi. Jamaa wanajiamini mno ktk mipango yao.
Brainwashed!
 
Finland kama nchi ni lazima ijitie kufanya mazoezi ili isionekane nyonge maana mwenzake anachezea kichapo ktk Karne hii haijawahi kutokea, mazoezi ya kijeshi ni kawaida kwa taifa, but haitozuia Uamuzi wwte wa Russia, kumbuka Finland haijajiunga na NATO na hapohapo Russia kasema ikijiunga atachukua hatua, hatujui hatua gani ila nahisi akijiunga na NATO amani alionayo sasa na miaka ya nyuma 98% itaondoka nchini mwao
 
Finland kama nchi ni lazima ijitie kufanya mazoezi ili isionekane nyonge maana mwenzake anachezea kichapo ktk Karne hii haijawahi kutokea, mazoezi ya kijeshi ni kawaida kwa taifa, but haitozuia Uamuzi wwte wa Russia, kumbuka Finland haijajiunga na NATO na hapohapo Russia kasema ikijiunga atachukua hatua, hatujui hatua gani ila nahisi akijiunga na NATO amani alionayo sasa na miaka ya nyuma 98% itaondoka nchini mwao
Kichapo gani? kama sio kubadilishana mapigo. Vijana wengi wa Tanzania mnatia aibu kwa kuweka hisia kwenye mambo yanayoitaji analysis. Ukichunguza warusi wenyewe wanavyochambua hii operation ni tofauti kabisa na watz wengine wenye degree za political science. Kwa akili ndogo tu kama Russia hajapata air superiority unafikili anaweza kutembeza mapigo kizembe, ukiona Russia amesonga mbele ujue askari wengi wamekufa. Ushindi mzuri kwenye uwanja wa medani ni kushinda vita ( battle ) kwa haraka sana pasipo kuua askari wengi
 
Hakuna kinachotokea kwa bahat mbaya. Back in 2014, UK alikuwa anatoa mafunzo ya silaha za anti tank kama javeline, stingers n.k kwa Ukraine.

Leo ni 2022, miaka 8 tukashuhudia mambo yanatokea. Kifupi niseme kuwa US ilishajipanga kuja kupambana na Russia ktk ardhi ya ugenini. Yale mabajeti ya US mazito mazito ktk Ulinzi ni kwa ajili ya kazi za kidhalimu kama hizi.

Asikwambie mtu, dhumuni la US ktk vita hii lazima litimie. Wengi tunaona kama vile Russia akishinda vita basi US ameshindwa, tunasema hivi sababu hatujui CIA imekusudia nini kwa Russia.

Yamkini wanahitaji kujua ubora wa jeshi la anga na ardhini la Russia, pengine kutambua mifumo yake ya ulinzi ina ubora kiasi gani, Russia ana silaha gani kwa sasa za kisasa, tukumbuke tayar Russia ametumia hypersonic missiles, laser weapons n.k

Kwahiyo Russia kuchukua Ukraine inawezekana ila haimaanishi kuwa azma ya US imefeli, hapana, kuna kitu jamaa wamekirenga n sisi ni vigumu kukitambua.

US ndo taifa pekee linalojua miaka 30 mbele wao watakuwa wapi. Jamaa wanajiamini mno ktk mipango yao.
Ndyo maaana kasema wajibu watu wanaojua Ila ww kiazii unakuja kujibu kishabiki uku aliyekwambia mataifa makubwa hayana mipango ya miaka zaidi ya 50 ni Nani China Tu chipukizi WA juzi ana mipango ya Hadi 2070 uku itakuwa Rusia ivi nyie akili zenu mmeziweka wapi wajuzi WA vita wanasema Rusia anatumia silaha za kipindi cha Soviet hizi za kisasa bado kijana fatilia Mambo kiundani Acha ushabiki WA vijiwe vya kahawa
 
Back
Top Bottom