Naomba Mwongozo namna ya kuchinja Nyati (mnyama wa porini) ili awe HALAL

BekaNurdin

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
2,267
2,041
Ndugu wana jamvi, salaam.
Kuna mahali (kijijini) nimepita nikaona kwa mbali umati umekusanyika bila wasiwasi, nikadokezwa kuwa inauzwa nyama ya nyati mahali pale. Ndipo nilipochukua hatua kusogea mahali pale ili nami niambulie japo kidogo. Waliponiona shughuli ya kuuza ikasimama kwa muda kwani walinitambua mimi si mwenyeji wa eneo lile kwahiyo wakawa na wasiwasi pengine nisije nikawatia matatizoni. Walipogundua kuwa mimi siyo mtu hatari kwao (sijui walijuaje!) wakanikaribisha na biashara ikaendelea. Kitoweo kile kilinunuliwa na watu wote bila kujali itikadi za dini. Nauliza hivi, nyati anachinjwa na nani? Anachinjwaje? Mwongozo wa dini gani unafuatwa wakati wa uchinjaji?
 
Vyote alivyoumba Mwenyezi Mungu ni halali na yeyote anapaswa kukialalisha kuliwa cha msingi afuate taratibu mfano kutomtesa mnyama wakati wa kumchinja
 
Beka @​bekanurdin, tuna kula tu vibudu ila hatujitangazi.
Nyati unamgeuziaje kibla?
Unamchinjaje? Ni Lazima afe ndipo achinjwe.
Ndugu wana jamvi, salaam.
Kuna mahali (kijijini) nimepita nikaona kwa mbali umati umekusanyika bila wasiwasi, nikadokezwa kuwa inauzwa nyama ya nyati mahali pale. Ndipo nilipochukua hatua kusogea mahali pale ili nami niambulie japo kidogo. Waliponiona shughuli ya kuuza ikasimama kwa muda kwani walinitambua mimi si mwenyeji wa eneo lile kwahiyo wakawa na wasiwasi pengine nisije nikawatia matatizoni. Walipogundua kuwa mimi siyo mtu hatari kwao (sijui walijuaje!) wakanikaribisha na biashara ikaendelea. Kitoweo kile kilinunuliwa na watu wote bila kujali itikadi za dini. Nauliza hivi, nyati anachinjwa na nani? Anachinjwaje? Mwongozo wa dini gani unafuatwa wakati wa uchinjaji?
 
Nyati anapigwa risasi akiwa porini bila kuangalia ameelekea uelekeo gani, na kwa kuwa ni mnyama hatari, watu huhakikisha kuwa katulia kabisa kabla hawajamsogelea baada ya kumpiga risasi! Hivyo kimsingi anakua amekufa!

Hapo ndio ujue unafiki wa binadamu!

Naomba kuuliza, mlisema wale wamiliki wa mbuga loliondo ni watu wa wapi vile?!
Hao hao sasa ndio wanaowinda!
 
Ndugu wana jamvi, salaam.
Kuna mahali (kijijini) nimepita nikaona kwa mbali umati umekusanyika bila wasiwasi, nikadokezwa kuwa inauzwa nyama ya nyati mahali pale. Ndipo nilipochukua hatua kusogea mahali pale ili nami niambulie japo kidogo. Waliponiona shughuli ya kuuza ikasimama kwa muda kwani walinitambua mimi si mwenyeji wa eneo lile kwahiyo wakawa na wasiwasi pengine nisije nikawatia matatizoni. Walipogundua kuwa mimi siyo mtu hatari kwao (sijui walijuaje!) wakanikaribisha na biashara ikaendelea. Kitoweo kile kilinunuliwa na watu wote bila kujali itikadi za dini. Nauliza hivi, nyati anachinjwa na nani? Anachinjwaje? Mwongozo wa dini gani unafuatwa wakati wa uchinjaji?

Nenda pale kongwa beef ukaone jinis wanavyo chinja ngombe.

Ngombe kwanza hupigwa shoti ya umeme, akitulia ndipo bisu kubwa la umeme humchinja, wanavyosema(sina uhakika na hilo) lile bisu la umeme huandikwa bismilahi ......
 
Mnapenda haya mambo!! Si twajilia tu bwana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Sema bismilllah! Unasubiri anageukia kibla then unamlenga risasi kwenye mshipa mkuu (jugular vein)....huyu kashakua halal
 
African_buffalo_Syncerus_caffer_retouched.jpg
Sio rahisi kumchinja huyu mnyama kwa kisu akiwa mzima,wenye kujali kachinjwaje hapa tusidanganyane mnakula isivyo halal
 
unasema bismillah kabla hujapiga risasi then inakuwa halal

‘Zakkaytum’ is a verb derived from the root word ‘Zakaah’ (to purify). Its infinitive is ‘Tazkiyah’, which means purification. The Islamic mode of slaughtering an animal requires the following conditions to be met:


a. The animal should be slaughtered with a sharp object (knife)


The animal has to be slaughtered with a sharp object (knife) and in a fast way so that the pain of slaughter is minimised.


b. Cut wind pipe, throat and vessels of neck


‘Zabiha’ is an Arabic word which means ‘slaughtered’. The ‘slaughtering’ is to be done by cutting the throat, windpipe and the blood vessels in the neck causing the animal’s death, but without cutting the spinal cord.


c. Blood should be drained


The blood has to be drained completely before the head is removed. The purpose is to drain out most of the blood, which would otherwise serve as a good culture medium for micro organisms. Hence, for this purpose, the spinal cord must not be cut, otherwise the nerve fibers to the heart would be damaged during the process causing cardiac arrest, resulting in stagnation of the blood in the blood vessels.
 
Huui mnyama ana sura ya kutisha jamani

Nilikutana naye mahali, aliponitizama kidogo nizimie
Huyu mnyama shughuli yake wakati wa kumuua ni pevu na kishapoteza roho za wawindaji wengi ambao huwa na uchu wa kwenda kumchinja haraka kabla hajafa.
 
Watu wana roho ngumu sana

Mie nilipiga yote hadi wakatoa gari eneo lile, khah, ana sura nzito kama zirael

Sasa nashangaa wawindaji

Huyu mnyama shughuli yake wakati wa kumuua ni pevu na kishapoteza roho za wawindaji wengi ambao huwa na uchu wa kwenda kumchinja haraka kabla hajafa.
 
Nenda pale kongwa beef ukaone jinis wanavyo chinja ngombe.

Ngombe kwanza hupigwa shoti ya umeme, akitulia ndipo bisu kubwa la umeme humchinja, wanavyosema(sina uhakika na hilo) lile bisu la umeme huandikwa bismilahi ......

Kwa hiyo Nyati naye hupigwa shoti ya umeme kwanza kabla ya kuchinjwa ?
 
Huyu mnyama shughuli yake wakati wa kumuua ni pevu na kishapoteza roho za wawindaji wengi ambao huwa na uchu wa kwenda kumchinja haraka kabla hajafa.

Yaani akipigwa mshale au risasi, analala tuli hata kwa muda wa saa nzima, ukifika ukamgusa kwa mbali bado anaendea kulala kimya. Ukisogea karibu na kuchomoa kisu ili uanze kazi, anaamka halafu unakuwa Halal ya pembe zilizopinda.
 
Watu wana roho ngumu sana

Mie nilipiga yote hadi wakatoa gari eneo lile, khah, ana sura nzito kama zirael

Sasa nashangaa wawindaji
Mkuu Kongosho wawindaji wana roho ngumu sana,ila inaonekana unaogopa sana kwenda mbugani,mimi kila mara nikipata muda na mfuko ukituna huenda,ngoja nikupe picha nilizowahi kupiga katika moja ya mbuga zetu
DSC00412.JPG
DSC00444.JPG DSC00470.JPG DSC00518.JPG
 
Back
Top Bottom