Afro king
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 427
- 428
Habari za mchana"""
Natumaini wote nyote ni wazima....
Naomba muongozo wa kufanya biashara ya nguo,🎽Viatu n.k vya mitumba kwa kuniambia ni store zipi naweza kwenda kuchuwa mzigo na cost ni shingapi kwa kila baloo, mtaji wa kuanzia unahitajika kama shingapi na changamoto za biashara hii
Wasalam.....🔰🔰
Natumaini wote nyote ni wazima....
Naomba muongozo wa kufanya biashara ya nguo,🎽Viatu n.k vya mitumba kwa kuniambia ni store zipi naweza kwenda kuchuwa mzigo na cost ni shingapi kwa kila baloo, mtaji wa kuanzia unahitajika kama shingapi na changamoto za biashara hii
Wasalam.....🔰🔰