Naomba muongozo, nahitaji kulima maharage mwakani

William Ngotti

Senior Member
Apr 13, 2015
187
48
Wakuu naomba muongozo mwakani nahitaji kulima kilimo cha maharage ya njano. Nahitaji kupata taaluma kidogo nipo wilaya ya Moshi. Pia kama nitapata na shamba la kukodisha itakua vizuri zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom